Mwanza inaweza kuwa logistic hub.pia usisahau ni port city..logistics hub kwa maana ya kuunganisha great lakes region kupitia air port,bandari na railway..problem ni vision ya mipango ya economy inapangwa dar kwa mtizamo finyu kwamba mwanza lazima I develop kwa mfano was dar.
Acha kukurupuka..unatawaliwa na hisia sio ukweli..kama kawataja so what..?proof iko wapi..?mnaangamia kwa lack of knowledge.. False prophets walitabiliwa..kama wapo manabii wa uwongo ,ina maana wa ukweli wapo..one person kuandika flani ni nabii wa uwongo..lazima alete vielelezo vya kibiblia..sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.