Hakuna kitu kama hiko, kusoma sana elimu ya dini kwa muislamu si kigezo cha kusema aipuuze elimu ya dunia.. .. Isipokua kinachofanywa ni hila na chuki za watawala ambao asilimia kubwa ni wakristo. Na ndio maana hata miaka ya juzi juzi waliamua kutuafuata mpaka ktk somo la dini, kuwakosesha...
Huo ndio uhalisia, lengo ni kukatisha tamaa lakini kwakua hakuweza kukata tamaa, alipambana mpaka damu ya mwisho kuona aalichokitarget kinafanikiwa....
big up! tunahitaji wanasiasa wakomavu kama hawa, nahisi ndio wataoweza kubadili mwenendo wa siasa hapa nchini kwetu, namkubali sana zkk na dr kitila kwa jinsi walivowasilisha uamuzi wao, sio kama kina Rostam aziz ambaye alisusa na kuachana mbali na siasa, ukiamua kuingia katika siasa unatakiwa...
"Mbona haya yameshatokea CUF,mnamkumbuka Hamad Rashid,Politics is a dirty game "
huyu alikuwa anajaribu kutumia mbinu za kumfanya awe kiongozi lakini kwa kuchaguliwa kidemokrasia, kwahiyo alikuwa akijaribu kuenfluence wawe upande wake, Hamadi Rashidi yeye hakutaka hata huo uchaguzi wenyewe...
Uyo Ufo ajue kuwa wote ss ni watu wazima na akili zetu timamu, kama ameamua kuweka kila kitu dhahiri basi aeleze ukweli hata kama yeye ana makosa, ili tupime uweo wa kosa na adhabu aliyotakiwa kupewa ni sahihi au lah... lakini si kutufunika funika. lolote litokealo huwa halikosi sababu/chanzo...
mtafanya nini ndugu zangu, mshafanya mangapi tangu mchomewe hayo makanisa? dunia nzima waislamu huwa ndo wanaanzishaga tifu tifu pindi wanapoona haki zao hudhulumiwa, mi cjawahi kusikia wakristo kama washawahi kufanya hivyo, sisi waislamu tunachoamini kufa kwa ajili ya kutetea dini ya Allah basi...
ila greater thikers wanatakiwa watoe majibu ya dizaini gani, mtu hasumbuki na -------- ndo maana ukajibiwa kulingana na upuuzi wako, hilo nalo linahitaji mtu aende shule, hivi unaweza kuniambia how can u be so'sure kama kote uliposema ameleta uchochezi? Kwa propaganda za media au? Umeshawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.