Kikubwa uwe na vitendea kazi kama laptop pia inategemeana na blog ipi unafungua kama ni ya za habari au music hizi ni nyepesi kwani utacopy sehemu na kuhariri
ndugo yaani umefanikiwa kuirekebisha kwa 10% tu yaani bado ndio maana nimesema bora tu umpe mtu anae weza maana usauri uliotolewa huku hakuna hata moja lililofanyiwa kazi 100%
Ndugu wala usiangaike Huwezi kufanikiwa ila kwa ushauri wangu jaribu site zingine kama picoworker.com au microworkers.com ingawa malipo yako ni kidogo ila ndio zinazoongoza kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.