Recent content by Muuza Viat

  1. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Sikushuka kwa sabab nimemaliza mkataba bali nilishuka ili kuweka sawa baadh ya vipengele na nilichagu vyuo vya ufilipino kwa sabab nilijua muda huo nitakua pale alaf kuhusu hiyo sheria inayosema si kila baharia anapanda meli yenye ruti ktk bandar ya nyumban
  2. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Hiyo kukaa darasan tena miez nane ni kwa mujibu wa DMI au dunia nzima?
  3. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Israel na Marekani uko sawa na ule wa Ujerumani na Austria 1914

    Kwa mtazamo huo visiwa vya unguja na pemba vingekuwa vimeshajaa watu kwa sabab jamaa wapo vizur kwenye kuzaliana na wazanzibar wangekuwa vinara wa deep state ya tanganyika
  4. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Putin nchini China, Je, Huu ni Ujumbe kwa Marekani na NATO?

    Wanatumia lugha gan hao wawili hapo???
  5. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Israel na Marekani uko sawa na ule wa Ujerumani na Austria 1914

    Wanashindwa kubisha laiv laiv wana hofu ya kuitwa mabazaz na Mabazazi na madunya
  6. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nimekubali nimefilisika, kwa sasa natuliza ubongo

    Mimi hapa muuza viatu nilikua mbishi kwa kuukataa ukwel mchungu kuwa nimefilisika hatimaye nimekubali kuwa nimefirisika biashara zangu zote zimekufa. Mwaka 2022 soko liliungua kinomanoma na mimi nikiwa miongoni mwa waathirika kutokana na presha kwamba labda tunaweza tukazuiwa kurudi kufanya...
  7. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Aisee umenifurahisha mdau
  8. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Aisee umenifurahisha mdau
  9. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Zingatia heading
  10. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Hujaelewa wap
  11. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Hujaelewa nin na wap
  12. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Wakat napiga Kaz kwenye mel km oiler ikatokea nafas eng class3 alifanya maamuz ya kurud hom akafanye mambo mengine kwa hiyo nafas yake ilipaswa kuzibwa na ili niipate ile nafas nalazimika kuingia darasan na kufanya mtihan wa oral nikifaulu ndio nipande daraja kutoka oiler mpaka class3. Bas...
  13. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Ikiwa iran itashupaza shingo "Operesheni Sledgehammer" itafuatia!!!!

    Hayo majina wanayobadilisha yana athar gan kiutendaj???
Back
Top Bottom