Kwa mtazamo huo visiwa vya unguja na pemba vingekuwa vimeshajaa watu kwa sabab jamaa wapo vizur kwenye kuzaliana na wazanzibar wangekuwa vinara wa deep state ya tanganyika
Mimi hapa muuza viatu nilikua mbishi kwa kuukataa ukwel mchungu kuwa nimefilisika hatimaye nimekubali kuwa nimefirisika biashara zangu zote zimekufa.
Mwaka 2022 soko liliungua kinomanoma na mimi nikiwa miongoni mwa waathirika kutokana na presha kwamba labda tunaweza tukazuiwa kurudi kufanya...
Wakat napiga Kaz kwenye mel km oiler ikatokea nafas eng class3 alifanya maamuz ya kurud hom akafanye mambo mengine kwa hiyo nafas yake ilipaswa kuzibwa na ili niipate ile nafas nalazimika kuingia darasan na kufanya mtihan wa oral nikifaulu ndio nipande daraja kutoka oiler mpaka class3.
Bas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.