Recent content by Muuza Viat

  1. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Israel na Marekani uko sawa na ule wa Ujerumani na Austria 1914

    Kwa mtazamo huo visiwa vya unguja na pemba vingekuwa vimeshajaa watu kwa sabab jamaa wapo vizur kwenye kuzaliana na wazanzibar wangekuwa vinara wa deep state ya tanganyika
  2. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Putin nchini China, Je, Huu ni Ujumbe kwa Marekani na NATO?

    Wanatumia lugha gan hao wawili hapo???
  3. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Israel na Marekani uko sawa na ule wa Ujerumani na Austria 1914

    Wanashindwa kubisha laiv laiv wana hofu ya kuitwa mabazaz na Mabazazi na madunya
  4. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Nimekubali nimefilisika, kwa sasa natuliza ubongo

    Mimi hapa muuza viatu nilikua mbishi kwa kuukataa ukwel mchungu kuwa nimefilisika hatimaye nimekubali kuwa nimefirisika biashara zangu zote zimekufa. Mwaka 2022 soko liliungua kinomanoma na mimi nikiwa miongoni mwa waathirika kutokana na presha kwamba labda tunaweza tukazuiwa kurudi kufanya...
  5. Muuza Viat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Aisee umenifurahisha mdau
  6. Muuza Viat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Aisee umenifurahisha mdau
  7. Muuza Viat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Zingatia heading
  8. Muuza Viat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Hujaelewa wap
  9. Muuza Viat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Hujaelewa nin na wap
  10. Muuza Viat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyozikimbia Mbususu

    Wakat napiga Kaz kwenye mel km oiler ikatokea nafas eng class3 alifanya maamuz ya kurud hom akafanye mambo mengine kwa hiyo nafas yake ilipaswa kuzibwa na ili niipate ile nafas nalazimika kuingia darasan na kufanya mtihan wa oral nikifaulu ndio nipande daraja kutoka oiler mpaka class3. Bas...
  11. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Ikiwa iran itashupaza shingo "Operesheni Sledgehammer" itafuatia!!!!

    Hayo majina wanayobadilisha yana athar gan kiutendaj???
  12. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Vita vyetu na Iran havijaisha mpaka Uraniumu iondoshwe-Benjamin Netanyahu

    Wanakuwaje washirika wanaoshirikiana ktk kila jambo ilhal kwenye kubagen dili kule Islamabad walienda us tu???
  13. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Marekani yashambuliwa na Jeshi la Wanamaji la Iran ambalo inadaiwa liliangamizwa

    Ushindwe kwa jina la yethu Faya faya faya
  14. Muuza Viat

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Israeli anataka kuzichapa sasa na China

    Sponsa wake anasemaje???
Back
Top Bottom