Haya mkuu
Kama upo Dar na unaweza ufugaji nitafute. Nina mabanda hapahapa Dar es Salaam
Mbuzi wanauzwa minadani Morogoro, Dodoma, Mkata nk kwa Tsh 40,000 mpaka 60,000
Mimi nitakupa gari langu pickup uweke mafuta (petrol) ya 150,000 kwenda na kurudi
Ukinunua mbuzi 30 kwa tsh 50,000 kila mmoja...