Recent content by mutate

  1. M

    Bajaj, bodaboda marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam! Waandamana ofisi za CHADEMA

    sasa hii nayo inanifanya nipate shida kidogo na pengine nadhani kunatatizo mahali, kama tunogopa hata vichwa vy habari je tutaweza kuwafukuza wanotuibia mali zetu, wanotunyanyasa, wanao waacha mama zetu na wadogo zetu wanapoteza maisha mahospitalini bila huduma, wanowaacha ndugu zetu wanakosa...
  2. M

    Bajaj, bodaboda marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam! Waandamana ofisi za CHADEMA

    lengo langu hapa nataka tujue ni kwa jinsi gani sisi na viongozi wetu hatuna mfumo wa mawasiliano na uratibu wa shughuli za serikali. mfano katika hoja yangu nimeonyesha ni kwa jinsi gani mamlaka za serikali zinavyojichanganya. upande wa pili nimeonyesha ni kwa jinsi gani suala hili linavunja...
  3. M

    Bajaj, bodaboda marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam! Waandamana ofisi za CHADEMA

    Kwa kipindi kirefu sasa Tanzania na Mtaifa mengine yamekuwa yakilia suala la ukosefu wa ajira kwa vijana. lakini sisi tumefanikiwa kupata njia rahisi ya kupunguza tatizo hilo hasa kwa kada za vijana wasio na ujuzi maalumu. inasemekana zaidi ya ajira 600 zinaongezeka kila siku kutokana na boda...
  4. M

    Tabia ya Kurithishana madaraka inaivunja CCM.

    Sina shida na haki ya mtu ya kidemokrasia ya kugombea au kuchaguliwa au kuteuliwa, au hata kuajiriwa katika nafdasi yoyote hile. shida yangu ni haya mazingira ya kurithishana nafasi katika utumishi wa umma kwa mgongo wa chama na familia. katika uchanguzi mkuu 2010 suala hili lijitokeza majina...
  5. M

    Ubinafsishwaji wa tanesco

    shida yangu sio tofauti ya "state" au "public" shida yangu ni ufanisi. kwa sababu hata hiyo state inaown kwa interest ya nani? kimsingi state/dola ni la kila mtu hata huyo private. lakini ukiangalia tafsiri ya state owned interprise kwenye enterprise management utaona inamaana sawa na public...
  6. M

    Barcelona vs man city - uefa champions 12/3/2014

    imekuwaje sasa city kasogea au kakalishwa?
  7. M

    Ubinafsishwaji wa tanesco

    Ubinafisishwaji ni tendo ambalo linahusisha kuamisha mali ya umma ama moja kwa moja au sehemu ya mali hiyo kutoka kwa serikali kwenda kwa wadau binafsi. Lengo kuu ni kutaka kuleta wadau wengi zaidi katika shughuli au mali husika. mfano kama shirika linalotoa huduma ya jamii kama Tanesco...
Back
Top Bottom