Habari za leo wadau
Swali langu kwenu ni kutaka kujua tofauti iliyopo kati ya engine za IST zenye 1290cc na 1490cc.
Nini hasa kinachotofautisha aina hizi za injin? Je ni katika matumizi ya mafuta tu ama kuna vitu vingine vya ziada.
Naomba msaada wenu tafdhari
Natanguliza shukrani
Heshima kwenu wanajamii.
Naomba mwenye ujuzi wa kuweka namba kwenye black list ili akipiga asinipate. Nili install call blocker haikunisaidia. Natanguliza shukrani.
Ndugu zangu wanajamii naomba kujuzwa kuhusu hili. Mfanyakazi anakuwa na haki gani ama kama kuna malipo yoyote pale mkataba wake wa kazi inapokatishwa ghafla.
Ndugu. Naona unaweza Kuwa wa msaada mkubwa hapa. Ingefaa sana kama ungeziainisha aina za engine zinazofaa kwa mazingira ya hapa kwetu Tanzania.
Shukrani.
Heshima kwenu wanajamii.
Mara nyingi huwa natumia IDM kudownload YouTube video ila huwa inanipa option ya 360p na Mara cha he 480p. Nimejaribu kutumia Eagleget na IlliVid ila imeshindikana. Mwenye ujuzi jinsi ya kupata YouTube video katika formats tajwa hapo juu atuwekee hapa.
Natanguliza...
Heshima kwenu wanajamii.
Nimedownload NFS most wanted 2005 torrent file kwa kutumia u torrent.
Naomba msaada wa hatua za kufuata kukamilisha process nzima ya installation.
ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.