kikwete alikataa maswali hapa uk kwa kuogopa kuhulizwa hili swala,lakini namkumbusha alipo hulizwa akiwa waziri wa mambo ya nje na bbc world services na alivyotetea hilo swala. swali langu kwake je mpaka sasa anaendelea kuitetea hiyo deal kama alivyofanya mwanzo?
swala la zanzibar ni bom linalo subili kupasuka,sababu za nyerere kufanya muhungano kwa sasa hazipo tena moja wapo ikiwa ni ulinzi. zanzibar lazima tuachane nayo.ina matatizo mengi sana .kwanza vizazi cha sasa cha wazanzibar kinapotea wengi wapo canada ,uk ,usa,nk.nchi imeuzwa kwa...
jk jifunze kuwa makini katika kazi yako impression ya mwanzo watu watakujaji unavyo jieleza.na uelewe umebeba maisha ya watanzania 34million,please acha mzaa katika utendaji kazi.ikiwezekana tumia muda mwingi kufahamu mada zipi unaenda kuzitoa mbele za watu'kama uwezi jifanye unaumwa tuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.