Mimi ni kijana wa miaka24 maisha yangu napenda sana kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji, nimefanikiwa kupata ardhi inayoniwezesha kufanya kilimo na mimi nimefikiria kupanda miti ya mbao na miembe ya kisasa ila sina ufahamu wowote kuhusu kilimo hicho, naombeni mnisaidie elimu ili nipate ufahamu...
Jaman naombeni mnisaidie shule ya bweni "A level"hgl yenye ada kuanzia milion1 kushuka chini mkoa wwte#mtt wa kiume,,ntashukuru kwa msaada wenu#0621007869
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.