Gharama au ni utapeli?!
siyo kwa vile jukwaa ni huru badi uongee tuu kwakua nafasi ni ya bure, hauna mchango chanya nyamaza.
Milioni 7.7 kwa miloni kumi na tisa ilipwe kwa miaka minne alafu uje upandishe/umuwekee kwenye account mkopo bila ridhaa ya mhusika wa milioni 1.57 akulipe kwa...
Sidhani kama nimeeleweka ama sijajielezea vizuri!.
Hawa mabwana walinipigia cm wakanadi huduma zao, lakini walivyofanya ni tofauti na walivyojinadi.
Na hapakua na kitu cha bure hapo.
Wapi kapata namba zangu, wapi kanijua ninaitwa Nani na nimeajiriwa halmashauri ipi.
WADAU.
Ajira mpya serikalini tunanyonywa sijui ni kwa ufinyu wetu wa maarifa au nitakua mkosefu sana kwa kusema kuna mapapa walioweka mifereji kwa kufanya mifumo rasmi iwe migumu na kutumia huo ugumu kama faida kwao kwa kutunyonya sisi.
Ni ngumu kusema ni mtu wa nje ya mfumo kwakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.