Una gundu mjomba ogea maji ya magadi aisee au hujui kuandika CV au hujui kuandika barua ya maombi au hujishughulishi kutafuta ajira kwenye tovuti na blogs za ajira au huna experience ya kutosha au unataka ulipwe shahara kubwa yaani sielewi kabisaaa
Wabongo mbona wagumu kuelewa mkasome public notice ukimaliza fuatilia jana JK kasemaje na kuhusu ajira zipo kila cku kwenye mitandao au kada yako co marketable
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.