Recent content by mussa8

  1. M

    Nawashauri vijana waliositishiwa ajira na wanaosubiri ajira mpya waandamane

    Kura ni siri ya mtu hapo ndipo watz tunapofeli kuweka plural kwenye singular sema mimi sio tuta kwani kura za maruhani hizo zile za ndioo
  2. M

    Nawashauri vijana waliositishiwa ajira na wanaosubiri ajira mpya waandamane

    Lazima utakuwa mfuasi wa kibwetere na ushauri wako wa nguvu za giza
  3. M

    Natamani kuchana vyeti!

    Una gundu mjomba ogea maji ya magadi aisee au hujui kuandika CV au hujui kuandika barua ya maombi au hujishughulishi kutafuta ajira kwenye tovuti na blogs za ajira au huna experience ya kutosha au unataka ulipwe shahara kubwa yaani sielewi kabisaaa
  4. M

    Natafuta kazi, Nina Diploma ya Kilimo

    Aje shamba lipo ekar kibao aje tu nimkatie apige kazi
  5. M

    Changamoto ya ajira ni ya kudumu?

    HIV guidance and counselling, Marketing, maafisa ugani na kadhalika nyingine tafuta mwenyewe
  6. M

    Huna ajira ? njoo tukajiajiri kukata mkaa

    Ongea kitu ambacho una uhakika nacho co unakurupuka tu ndugu nakushauri fanya utafit kwanza co unakuja na mawazo rahic rahic ivyooo
  7. M

    NATAFUTA KIBARUA / AJIRA

    Kuwa mkweli ukweli utakuweka huru
  8. M

    Changamoto ya ajira ni ya kudumu?

    Wabongo mbona wagumu kuelewa mkasome public notice ukimaliza fuatilia jana JK kasemaje na kuhusu ajira zipo kila cku kwenye mitandao au kada yako co marketable
  9. M

    Ajira za walimu ni sasa

    I doubt jamani watu mmegundua fursa uhaba wa ajira mmegundua deal
  10. M

    Ajira za walimu ni sasa

    Wamesajiliwa au ndio fursaa
  11. M

    Uliza ajira uzimwe kama taa

    Acha uongo public notice ipo ukifungua fb kwenye page ya Utumishi ipo
Back
Top Bottom