Huna ajira ? njoo tukajiajiri kukata mkaa

Divide tusk multiply success
Sio rahisi kama mnavoweza kuwaza, kwa kuwa haujataka kujua utaratibu Bali nguvu yaa njaa.

Tangulieni katika mapori Mali asili watawafwata, kutokujua mambo kiundani kutawapotezà
 
Nimerudi tena baada ya kutazama habari channel ten,watendajj wameshimamishwa hko na watu wamekamatwa kisa uchomaji wa mkaa
 
Kumbe umeanzisha thread unatafuta sugar mummy we kweli kiboko. Graduate anataka alelelewe teh teh teh.


Ndo graduate wewe akili inawaza kuvunja sheria tu..Kwa akili hii kama hutobadilika utabaki maskini milele.
kilichokupeleka kupekua profile yangu ni umbea tu. ndio maana watu wanaficha profiles zao. hunijui sikujui fuata mambo yako mkuu.
 
kilichokupeleka kupekua profile yangu ni umbea tu. ndio maana watu wanaficha profiles zao. hunijui sikujui fuata mambo yako mkuu.
nimeona majibu yako ikabidi nilete profile yako...Nakutakia maisha mema katika harakati zako mfu teh teh
 
Kumbe umeanzisha thread unatafuta sugar mummy we kweli kiboko. Graduate anataka alelelewe teh teh teh.





Ndo graduate wewe akili inawaza kuvunja sheria tu..Kwa akili hii kama hutobadilika utabaki maskini milele.
Duuuh...haya bhana!!! Ngoja niende Wellington kwanza.
 
nina elimu ya chuo , ajira ni ngumu na sioni matumaini ya kuajiriwa hivi karibuni. je nawe kama huna ajira, maisha ni magumu na wala hujui kesho yako itakuwaje, basi njoo tukutane hapa tupange mikakati ya kwenda kujiajiri kukata mkaa.

mapori ni mengi sana, kwa maana miti ipo. uhitaji wa mkaa baado ni mkubwa sana.

gharama za kujiajiri kukata mkaa ni ndogo vilvile

vifaaa vitakavyohitajika;-
1. mapanga - kwa ajili ya kukata miti, tunaweza tukanunua mashine za kukatia miti kisomi zaid

2. majembe na sururu - kwa ajili ya kuchimbia udongo wakati wa kufukia kuvundika mkaa

3. hema au turubai- sehemu ya kulala

4. godoro kwa ajili ya kulalia - japo sio muhimu

uwe na elimu yoyote alimradi uwe na ari ya kujitoa kwenda kupiga kambi porini, mimi nipo dar hivyo ningependa nipate walio dar ili tupange mikakati tufanyaje na tunaanzia wapi.

sababu ya ugumu wa usafirishaji tutauzia shamba, mkaa gunia likiwa shamba wastani sh 30,000/= tukiweza kuivisha wastani wa magunia 10 kila sku manake tuna sh laki3 kila siku.

unaweza kuitumia kama njia ya kujipatia mtaji kufanya shughuli zingine kama badaye hutapenda kuendlea nayo.

kama upo tayari nitumie msg inbox, ni kwa wale wahitaji tu.

changamoto na kejeli zinaruhusiwa.
mi niko tayar nipm namba yako
 
FaizaFoxy njoo Huku ujionee Jinsi elimu Ya chuo kikuu Tanzania ilivyomfanya kijana msomi kuwa zuzu. Anaona kuharibu mazingira kwa kukata miti ndio utatuzi WA umaaikini wake.
Ningeona ameelimika Kama angekuja na utatuzi mbadala WA nishati Ya mkaa.
 
Ongea kitu ambacho una uhakika nacho co unakurupuka tu ndugu nakushauri fanya utafit kwanza co unakuja na mawazo rahic rahic ivyooo
 
Hizo nikashfa za wazi, elimu na uchomaj mkaa znahusiana nn? Alisomea kuchoma mkaa au nishart? MTU kuwa na degree sio kujua kila kitu, angalia kasomea nn! Hafu kusoma sio kutoa umasikin na kutoa ugumu wa maisha! Ww mwenyewe unatakiwa uelimishwe!
 
mimi naona ni bora ungekuja na wazo la kushauri vijana wenzio muunde kikundi mtengeneze mkaa unaotokana na taka mana itasaidia kupunguza taka na kuongeza kipato kwani malighafi inayohitajika ni rahisi kupatikana na si lazima kwenda maporini na vile vile kama mkiwa na good proposal ni rahisi kupata mkopo wa vifaa na mengineyo ni hayo tu

soko la mkaa huo ni kubwa mno kwani tayari mahoteli mengi, vyuo pamoja na shule zina utumia

mkiwa tayari kwa hilo am in
 
nina elimu ya chuo , ajira ni ngumu na sioni matumaini ya kuajiriwa hivi karibuni. je nawe kama huna ajira, maisha ni magumu na wala hujui kesho yako itakuwaje, basi njoo tukutane hapa tupange mikakati ya kwenda kujiajiri kukata mkaa.

mapori ni mengi sana, kwa maana miti ipo. uhitaji wa mkaa baado ni mkubwa sana.

gharama za kujiajiri kukata mkaa ni ndogo vilvile

vifaaa vitakavyohitajika;-
1. mapanga - kwa ajili ya kukata miti, tunaweza tukanunua mashine za kukatia miti kisomi zaid

2. majembe na sururu - kwa ajili ya kuchimbia udongo wakati wa kufukia kuvundika mkaa

3. hema au turubai- sehemu ya kulala

4. godoro kwa ajili ya kulalia - japo sio muhimu

uwe na elimu yoyote alimradi uwe na ari ya kujitoa kwenda kupiga kambi porini, mimi nipo dar hivyo ningependa nipate walio dar ili tupange mikakati tufanyaje na tunaanzia wapi.

sababu ya ugumu wa usafirishaji tutauzia shamba, mkaa gunia likiwa shamba wastani sh 30,000/= tukiweza kuivisha wastani wa magunia 10 kila sku manake tuna sh laki3 kila siku.

unaweza kuitumia kama njia ya kujipatia mtaji kufanya shughuli zingine kama badaye hutapenda kuendlea nayo.

kama upo tayari nitumie msg inbox, ni kwa wale wahitaji tu.

changamoto na kejeli zinaruhusiwa.
Wazo la kujiajiri either wewe mwenyewe ama kikundi si baya mkuu but unapoongelea DEFORESTATION hasa zama hizi za changamoto ya MABADILIKO YA TABIA NCHI .... yakubidi uwe zaidi ya makini .... kinyume chake UTAKUTANA NA SHUBIRI
 
Wewe jiandae KUJILIPUA kama uwazavyo wewe then jilipue mwenyewe usiingize wenzio matatani ....

Nimesoma ushauri na mapendekezo mazuri ya baadhi katika comments .... ambayo yakizingatiwa yatawaletea UFANISI katika wazo lako na kuwaepusha na MKONO MREFU WA SHERIA YA MISITU pia HASARA ya kutaifishwa mali yote na faini juu ....

Naongea hili kwa uzoefu na hakika nilonayo .... mwisho usipende kuishi kwa MAZOEA mbona fulani anafanya hivi ama kwa SHORT-CUT
 
Back
Top Bottom