Jaman nashukuru sana kwa michango yenu. Kuna nyingine ya subaru forestar mwaka 2002 cc 2000 na inauzwa $3449 cfi dar vp kwa milion 10 itafaa; jaman wadau naomba msinichoke plc
jamani wadau nimejichangachanga nimepata milioni 10, na nataka kuagiza gari(Subaru forestara0 kutoka japan ya mwaka 2005 na cc 1999. je itatosha? naombeni ushauri wenu wadau. naatanguliza shukrani
HABARI WANA JAMII. MIMI NI KIJANA WA KIUME NINAEISHI MOSHI NAJITOKEZA KUTAFUTA MWANAMKE AMBAYE TUKIELEWANA ANAWEZA KUWA MKE WANGU WA MAISHI SIFA ZANGU NI: Elimu: chuo kikuu Urefu: wa wastani Dini : muislam Umbo : wa wastani Rangi: maji ya kundeMiaka: 30 SIFA ZA MWANAMKE ELIMU kuanzia form 4...
HABARI WANA JAMII. MIMI NI KIJANA WA KIUME NINAEISHI MOSHI NAJITOKEZA KUTAFUTA MWANAMKE AMBAYE TUKIELEWANA ANAWEZA KUWA MKE WANGU WA MAISHI
SIFA ZANGU NI:
Elimu: chuo kikuu
Urefu: wa wastani
Dini : muislam
Umbo : wa wastani
Rangi: maji ya kunde
SIFA ZA MWANAMKE
ELIMU kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.