Recent content by Mussa mourinho

  1. Mussa mourinho

    Makaburi Aina zote na vifaa vya ujenzi aina zote

    Kwa wale wahitaji wa makaburi ya marbo na design Aina zote kindly inbox
  2. Mussa mourinho

    Head stones (makaburi) na tiles etc

    Hellow wana JF nipo kwenye kampuni ya vifaa vya ujenzi aina zote bei nafuu tunatengeneza step tiles na head stones (makaburi aina zote) pamoja na kuweka picha na maandishi bila kusahau nina mashine ya kukata tiles na marbles, skirtings (mikanda) na tangastones kwa size unayotaka......+255719784767
  3. Mussa mourinho

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    nipo njia ya viwandani karibu na TCC au Radio tanzania
  4. Mussa mourinho

    Magufuli: Walioanza kulalamika hakuna pesa mifukoni ni wale waliozoea kupata pesa za burebure

    yes ndio tunalipa sisi hadi watalii na "jobless" wanaongezeka mitaani.....tunangoja kodi ya kichwa
  5. Mussa mourinho

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    kataa kwa vigezo....kama ipo hio amount na site ipo nitafute
  6. Mussa mourinho

    Magufuli: Walioanza kulalamika hakuna pesa mifukoni ni wale waliozoea kupata pesa za burebure

    kodi ni kubwa na biashara zinashuka kwa kukosa wateja....makampuni yanafukuza wafanya kazi kwa kupungua operations zao watu wanaongezeka wasio na ajira na hata hao wenye nazo makato kila kona na kila kitu ghali 18% VAT sio mchezo
  7. Mussa mourinho

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    f fundi analipwa kwa idadi ya matofali anayojenga ila haizidi 15,000 kwa kazi ya kutwa hapo amejenga whole day asubuhi mpaka giza
  8. Mussa mourinho

    Sheria inasemaje unapoachishwa kazi ??

    alikuwa analipwa mshahara kwa miaka yote 9 na NSSF inapelekwa kama kawaida kulingana na kiwango chake cha mshahara ila tu pesa inatolewa locally yaani unapewa tu pesa bila Pay slip wala salary slip.....kampuni inaendeshwa kienyeji hawapewi mikataba afanyaje mkuu??
  9. Mussa mourinho

    Sheria inasemaje unapoachishwa kazi ??

    Help wana sheria hili lipo kwa ndugu yangu
  10. Mussa mourinho

    Sheria inasemaje unapoachishwa kazi ??

    hellow guys ukifanya kazi zaidi ya miaka 9 kwenye kampuni bila mkataba ila tu malipo ya NSSF kupelekewa kama kawaida na mshahara usio na salary slip ukija kuachishwa bila sababu una haki zipi kisheria
  11. Mussa mourinho

    Movie gani imekubamba zaidi 2016?

    1) WAR CRAFT 2) CAPTAIN AMERICA :CIVIL WARS 3) EYE IN THE SKY 4) BATMAN VS SUPERMAN 5) CENTRAL INTELLIGENCE 6) ZOOTOPIA Hizi kwa upande wangu mpaka sasa
  12. Mussa mourinho

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    tiles 60x60 cm za china Grade A (sio Good one) 38,000 Tsh kwa box la vipande 4 ujazo square meter ni 1.44
  13. Mussa mourinho

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Hellow kwanza jua nyumba ya vyumba 5 sio ndogo standard ni nyumba 3 vya kulala na kwa uzoefu wangu wa kuwa kwenye kuuza vifaa vya ujenzi kiwango cha chini kabisa ni 70 million mkuu hapo umemaliza unahamia..... na ukitaka kifahari zaidi (quality products kwenye finishing ) ni over 120 million
  14. Mussa mourinho

    Tiles aina zote granite etc pamoja ya marble na makaburi ya design unayotaka

    Tuna tiles aina zote za bei nafuu kuanzia za UAE na china Grade A (sio good one) za chini na za ukutani...skirting zake na marble aina zote na pia tuna machine kubwa ya kuchonga tiles au kuweka mistari ya step au hata kuchonga mikanda (skirtings)....Tupo mbozi Road industrial Area karibu na kioo...
Back
Top Bottom