Recent content by Mussa Abdallah

  1. Mussa Abdallah

    Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

    Gang at work, pole Sana, Sasa ni muda wa Watumishi nao kuenjoy keki ya Taifa. Usiteseke Sana my sister Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
  2. Mussa Abdallah

    Cherehani used inauzwa 160,000/=

    Cherehani Used ipo katika Hali nzuri inauzwa laki moja na 60 (160,000/=) Inapatikana Dar es Salaam Msongola Stand nicheki 0658566851 Aina ya Butterfly. Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
  3. Mussa Abdallah

    Kama si Muungano Zanzibar ingekuwa mbali sana

    Watanzania tuacheni ubaguzi, si Jambo jema, mleta huu uzi hupaswi kuchekewa, wewe ni hatari Sana katika ustawi wa Taifa hili.
  4. Mussa Abdallah

    Mbona Lazaro Nyalandu amekuwa kimya sana tangu ahamie CHADEMA?

    Ainue mdoma wake aone, hii nchi cyo shamba la bibi tena
  5. Mussa Abdallah

    Tumpigie Rais Magufuli kura ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017

    JOHN P.JOSEPH MAGUFULI. Two days to go! Amechagua kuwa sadaka ili taifa lipone, amekuwa sauti ya waliosetwa,amewahurumia wanyonge na wasio na sauti! Amepooza masononeko ya waliodhulumiwa, Japo kwa uchungu na upinzani mkubwa,amelirudishia Taifa hadhi na heshima yake! Dunia na Africa...
  6. Mussa Abdallah

    Vijana zaidi ya 3,000 warudishwa nyumbani baada ya kumaliza mafunzo ya JKT kwa kujitolea, wakosa ajira

    JKT inakupa mbinu za uzalishaji mali ili ukienda mtaani uzitumie
  7. Mussa Abdallah

    TCRA yavipiga faini Vituo vya runinga ya Tsh. Mil 60 kwa kukiuka maadili ya uandishi na kutangaza habari za kichochezi

    Sasa nyinyi mnaolaumu mnatakaje?? Sheria haibagui wala haichagui, Azam anacho cha kujibu msiwajibie.
  8. Mussa Abdallah

    Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James awashangaza wana Tabora

    Tabora 01/01/2018 Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) umesema wananchi wanaopata bahati wabunge wao kupewa majukumu mengine ya kiserikali viongozi wa Chama na Serikali wana dhima ya kumsaidia na kufanya kazi za kuwatumikia wananchi. Pia umoja huo umeeleza kiongozi anayemtegea kazi mwenzake...
  9. Mussa Abdallah

    Kulikoni ITV na Chadema?

    ITV wanajitambua habari km hyo ya DJ Ziro hawawezi kuirusha
  10. Mussa Abdallah

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa DSM amtolea Uvivu Zakaria Kakobe

    Gwajima amezimika leo hii mmempata Kakobe,,, du ama kweli nyie ni nyumbu
  11. Mussa Abdallah

    CCM imechanganyikiwa?

    Nani aliyekuumiza?? Mbona vijana mnapenda sana kuyakuza mambo na kuyafanya kishabiki??? Acheni siasa majitaka
  12. Mussa Abdallah

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Mkishalewa pombe zenu mnaropoka tu
  13. Mussa Abdallah

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    Kakobe analeta uchochezi na huu ujinga anaoufanya haupaswi kuvumiliwa
Back
Top Bottom