Pole sana Mkuu,Tambua kwamba nyakati ngumu marshani zipo. Husiikimbie familiya yako katika kipindi hiki. Nakushauri geukia masokoni tafuta pahali palipochangamka Anna kuchukua matunda uza na mengine kata uza ya vipande. Nyakati ngumu hazidumu mkuu.
Husilipie kodi hapo kwenye flemu, hiyo milioni...
Tangu kuchaguliwa kwa Lissu na kuja na Falsafa ya NO REFORM NO ELECTION sijaandika uzi hapa jamvini,Leo baada ya CHADEMA kutoshiriki utiwaji wa saini katika kanuni za Uchaguzi kitendo kinachowaweka CHADEMA kuwa nje moja kwa moja kushiriki Uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025 nimeona nitie neno fupi...
Kuwa chama kikuu cha Upinzani si lazima iwe kwa tafsiri yako hiyo kwamba kwakuwa CHADEMA haitashiriki na ACT kushiriki na hivyo ikipata viti viwili Bungeni inatosha kuwa Chama kikuu cha Upinzani.
Kuwa chama kikuu cha Upinzani ni kuwa na wafuasi na wanachama wengi zaidi. Kitendo cha CHADEMA...
Someni gazeti la Mwananchi la August 21,2016. Hapo utapata simulizi ya Askari mstaafu aliyekuwa anafanya kazi Maalum ya kutekeleza hukumu ya kifo,alifanya kazi hiyo kwa miaka 22
Mkuu,ninakubaliana na mtoa mada. Gazeti la Mwananchi mwaka fulani liliandika mahojiano na Askari mstaafu wa Magereza ambaye alipata ajira kazi Maalum ya kunyonga na alieleza jinsi alivyokuwa akitekeleza majukumu yake.
Kupitia makala ile,nilielewa kwamba hukumu hiyo huwa inatekelezwa vizuri tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.