Hahahahaha maumivu hivi kwanini baadhi ya watu hawana subira? na wakati wote wanajiona wai ndio wako sahihi tuuuuuu.... Nini kinapelekea hauo yote?????
Embu naomba kueleweshwa hapa...
Mmmmm mbona umehamaki ndugu kulikoni tena.....chenye mantiki kwako si lazima kwa yeyote kiwe hivyo tuwe na subira jamani kila mmoja akiwa na jazba sidhani kama tutajadili jambo tukapata muafaka mzuri wa kutujenga....
Tangu bunge la katiba lilipo maliza kazi yake serikali ilianza harakati za kupanga matokeo kabla ya kura zenyewe na ndio maana walianza kusisitiza wananchi waisome halafu wakaipigie kura za ndio, ukitafakari utaona kumbe endapo nikikutana na mapungugu hukumu yake ni "hapana"!! Cha ajabu ni...
Sasa mbona mnakinzana bure!!!!!! Maana hata hao wanaosema msikubali waraka wa maaskofu nao pia wanashawishi jamii ikubali na kusema ndio kitu ambacho nacho si sahihi pia...
Naamini kwa upande wao maaskofu wamefanya sehemu yao kama mchango wao.... Wengine na wao waende kunako wahusu pasipo...
nyumba Ina vyumba 3 kimoja ni master, common toilet, kitchen, store na library, baraza 2. Kuna choo cha nje, eneo ni ~1000sqm, ina hati ya mauziano ya serikali ya mtaa. Ina umeme pia. Zaidi pm namba yako tuwasiliane.
Kabla hujahukumu au kusema jambo fikiri kwanza wee unahakika gani mm ni tapeli???
Turudi kwenye mada sidhani kama kuna ulazima wa kuweka anachohitaji kila mtu, nachoweza kusema ndicho nimeandika na mm sio dalali hii ni mali yangu mwenyewe anaetia shaka basi aendelee na mada nyingine....si vema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.