Kiongozi ukileta biashara uwe serious coz zile content za mzingi za tanzazo hazipo. sasa sijajua kama umefanya makusudi kutokuziweka? Kingine mambo ya PM hayana issue (Tumia PM kwenye mambo yetu yaleeeeeeeeeee........ lakini sio kwenye mambo ya chapaaaaaa). wewe weka Bei na namba ya Simu watu wakutafute. Mambo ya email adress waachie tradecarview na wengineo.Nyumba inauzwa kwa anahitaji maelezo zaidi (PM tupange ) dalali hatakiwi View attachment 234583