Tukuamini wewe au tuiamini serikali iliyofuta tarafa nzima
Nakuondoa huduma zote zakijamii..??
Nani kati yenu anaongea ukweli
Itoshe kusema kwamba
ACHA CHUKI CHUKI NI MBAYA SANA
hakuna maisha ya binaadamu hata mmoja unaweza yathaminisha na wanyama hata wakiwa 1000
Bado maisha ya mwanadamu...
Hotels zinajengwa walipo wanyama na sio hotel tuu
Kuna camps zinazopokea wageni wengi zaid zinahama mara kwa mara kusogelea wanyama walipo
Tembelea mbuga zetu mara moja hapo serengeti na ngorongoro
Ukirud tutaongea lugha moja
Pia kuna wageni wanakuja kufanya italic wa watu wanakuja...
Mchezo umeujua baada ya mbuga kuuzwa kwa waarabu
Kati ya wamasai wanaoishi kwa tamaduni zao za kale na five star hotels zinazojengwa mbugani
Nani hasa anaaribu mazingira..??
Wagen wanakuja kuwinda simba tembo chui
Lakin wamasia hawana muda na wanyama wakali
Hata nyati wamasai hawali
Fuel...
Atakaeamua wachagga wahame kilimanjaro atakua ametusaidia sana
Kutupatia sababu ya kudai TAIFA letu tukufu
Tumekua tukitamani muda mrefu sana ila tulikosa pakuanzia
Ulishaona uchaguzi ulio huru na haki tanzania..??
Maoni yako hayana maana yoyote
Raisi ni taasisi yenye nguvu sana kwa katiba yetu hii inaweza kugeuza hata usiku kua mchana
Wafanya biashara ni sisi wewe hata tin no humiliki
Uyo meya tunamsikia kwako
Hakuna mwanachadema wala mwanaccm
Yeyote anaefanya biashara hasa ya kuuza jumla kariakoo au anamiliki hata jengo lazima afanye mgomo hata kimya kimya kwenye nafsi yake
Hili swala linawagusa wote
Hata zungu ni chadema…?
TRA. TRA. TRA
hata Kama serikali isiposikiliza madai yetu ni sawa ila tumeondoa sumu mioyoni mwetu
Wengi wetu tunafilisiwa kimya kimya na awa vijana waTRA. Kwa kutaka mafanikio ya haraka haraka. Mioyo yao imejaa tamaa na zulma
Bila huruma
Mim binafsi ni muhanga wa hili jambo
Na kama serikali...
Hamna kitu unachokijua wewe.
Kwanza inaonekana hata dar hujawai kufika.
Kariakoo ndio kila kitu nchi nzima kwenye swala la biashara Maduka karibu yote njee ya kariakoo yanategemea kununua mali zote kariakoo.
Ngoja tugome wiki nzima uone hata izo gari za viongozi wenu mafisadi zitafanyiwa...
Mkuu Ishi nae kwa machale sana ..
Ivi karibuni tunaweza kuandika RIP
Kauli ya “nipe muda nifikirie”
Sio kauli ndogo
Tayari kuna mtu wa tatu ameingilia hapo katikati
Hafikirii bali anakwenda kwa yule mtu wa tatu kuomba ushauri
Majibu unayo sasa
Rip mbuzi….!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.