Shahidi: Si kweli Kwa sababu Baada ya Kuwakabidhi Kituo cha Polisi Mbweni Hatukurudi Tena.. Na Moshi....
WS: SUBIRI KWANZA
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba Kwa Leo Niishie Hapo
Wakili wa serikali leo hana raha maana shahidi wake wa Jamhuri anakwenda mbio kweli kweli .....