Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Detective Afande Goodluck atoa Ushahidi, Kesi yaahirishwa hadi Novemba 24, 2021

Hivi kesi zote hapa Duniani, Polisi wangekuwa Mashahidi kwa Kesi Nzima, Si watuhumiwa wote wangekuwa wanakutwa na Hatia. Maana kesi Yote mashahidi ni Askari Askari Askari, hapa kuna Haki Kweli? Inakuwaje Vitu vya Polisi Havina CCTV?
 
Hii nchi hatuko serious. Mama anasifia kifua cha Harmonize huku kesi ya kubumba inapoendelea yeye anaona fresh tu. Duh!🤦🏾‍♂️
Maza kapenda fua la Tembo..madogo sasa watashinda Jim kutengezeza sick packs..nchi ina vituko hii
 
Ndo hayo hayo-sasa aibu yake inamsaidiaje Mbowe kwa mfano?
Jaji: basi Mahakama inakubiana na maombi ya upande wa mashtaka kuhairisha kesi, mashtaka mnaelekezwa kwamba ukiona ushahidi siyo mrefu walete mashahidi wawili. Na washtakiwa wataendelea kuwa rumande chini ya magereza mpaka kesho Asubuhi saa 3 kamili
Hiyo aibu ndiyo italeta hukumu ya haki km hakimu atataka kutenda haki kwa Mbowe. Au unadhani yale maswali ya Kibatala Ni ya kujifurahisha.

Ulienda shule kusomea ujinga?
 
Pamoja na hiyo aibu ya leo haya ndiyo matokeo yake

Jaji: basi Mahakama inakubiana na maombi ya upande wa mashtaka kuhairisha kesi, mashtaka mnaelekezwa kwamba ukiona ushahidi siyo mrefu walete mashahidi wawili. Na washtakiwa wataendelea kuwa rumande chini ya magereza mpaka kesho Asubuhi saa 3 kamili
Kwa ufupi wa akili yako hapo umeielewa nini.
 
Mallya: Kwenye Maelezo Yako umesema Kwamba Mlikuwa na Askari Wengine wa Moshi ni sahihi

Shahidi: Sahihi

Mallya: Kuna Sehemu Yoyote Umepata Kueleza Kwamba Mliachana Nao wapi hao Askari Wa Moshi

Shahidi: Sikueleza

Mallya: Idadi ya Askari Mliokutana nao Moshi Unakumbuka?

Shahidi: Sikumbuki Idadi yao

Mallya: Shahidi Washtakiwa Wanasema Mlikuwa watu zaidi ya 10 mliwavamia, na Kuwawekea Madawa na Bastola

Shahidi: Si kweli, Tulikuwa watano

Mallya: Jaji ataona wapi Kwamba Mlikuwa watano

Shahidi: Kwenye Statement Hakuna

My take: kama kati ya hao askari watano hakuna aliyetokea Moshi, basi watuhumiwa walisema ukweli kwamba askari waliowateka na kuwawekea madawa ya kulevya na bastola walikuwa 10 jumla. Wao kwenye maelezo yao yote walidai ni askari 5 ndiyo walioenda kuwakamata kina Adamoo. Huyu anasema askari wa Moshi walikuwepo pia.

Kaaazi kweli kweli!

Umeligundua hili mkuu. Ni hao askari wa Moshi ndio waliplant silaha na madawa na kisha kujichanganya kama raia. Na kwa kuwa Polis haitaki askari hao wawe sehemu ya shitaka hili - hawakuwazumzia katika maelezo yao. Cross examination inathibitisha sasa kuwa kulikuwa na askari wengi kuliko waliotoka Arusha!!

Shahidi kaumbua wenzake!
 
Wakili wa serikali leo hana raha maana shahidi wake wa Jamhuri anakwenda mbio kweli kweli .....

Kaogopa hata kumuuliza maswali tena maana angeharibu. Aliyoharibu inatosha tayari. Kumbe kulikuwa na askari kutoka Moshi. Kumbe toka siku wanakamatwa mpaka siku ya kuchukuliwa maelezo shahidi alikuwa ana hayo madawa ya kulevya, simu na silaha kwenye begi lake!! (Habari za Luger, Luvern na CZ 100 zinanijia hapa).
 
Gari la RPC lina seats ngapi?
4
Mlikuwaxwangapu?
7
Nani alikaa juu ya RPC
ALIKAA PEKE YAKE SISI TULIBANANA SEAT YA
Kwa hiyo askari waliotumwa operation nzito ya kukamata magaidi wa ngazi ya makomandoo wa JWTZ walikosa gari ya majeshi yote na serikali nzima na kulazimu pair tatu za wanaume kupakatana toka Himo mpaka Dar?
 
Yani huu uzi una coments 30 tu?

Hivi wale wazungu bado wanaendelea kwenda mahakamani?
 
Back
Top Bottom