Sasa wandugu kwa hali ilivyo kwa sasa pinda taayari ameshanusa ikulu kila mtu sasa anakimbilia tunda zuri mtini Gotham simlaum ameona ni wapi kwenye muelekeo wa mafanikio na kwenye mikono ya hekima na busara.
Namkubali sana dc wa lushoto huwa na ona kazi zake sana za maendeleo swali ni kwamba atakubali kweli kugombea akikubali maghembe wala asigombanie nafasi kyo maana vijana na wazee watatangaza ushindi mapema.
Jamani naibu waziri wa mawasilano Mh January Makamba kumbe hana nyumba ya kuishi kwenye jimbo lake anafikia hotelini na kufanya kazi zake hotelini na kuondoka Dar es saalam huwa anafikia Lushoto .
Mwenye data atupie hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.