We need answers of your questions from you. Lissu has already explained on his side. He didn't pose questions, he brought "his" facts. Give us your facts no questions. We are public judges, we will judge you with your facts objectively and logically. Asking us questions as a response to Lissu's...
Nadhani hilo unaloita kosa la kiufundi lisilokua na uzito, kama lisingekua na uzito basi mahakama ingetupilia mbali rufaa. Sasa huwezi sema MTU aloachwa huru na mahakama ni mhalifu, umetumia sheria gani? Makosa ktk hati ya mashtaka pekee yanaweza kumfanya mtu asiye na hatia kukutwa na hatia...
Bado ni ufafanuzi ambao hoja zake hazina mashiko. Kimsingi alikua bado mwanachama wa CCM huku akiwa ni mwanajeshi. Kusema tu baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi kadi zao za chama eti zikahifadhiwa, hii haina maana kwamba mmiliki wa kadi ndipo alisitisha uanachama wake. Kama alistaafu tarehe 2...
Kiuhalisia ukisoma hiyo habari utagundua haina uhusiano wowote na kichwa chake. Sielew lengo la mwandishi ilikua ni nin. Hakuna sehemu yoyote ndani ya hiyo habari ambapo inaonesha kutofautiana kwa mh. Waitara na mh. Mbowe. Kama ni suala la elimu kama kigezo cha uongozi mahiri, wote kwa nyakati...
Lizaboni, huo ni utoto, siasa za kitoto sana hizo. Kwa jinsi tu habari ilivyoandkwa inakosa 'credibility' kabla hata ya ku-reason mtu aliyoiandika. Hata kama ingekuwa kweli, ila kwa namna na lugha iliyotumika inashawishi mtu kutoimini hata kidogo.
Ruttashobolwa
Hao unaowaita "watu" ni akina nani? Naamin huna jibu, na hakuna hao "watu". Hivyo basi si vyema hata kidogo kuwasingizia "watu" kuwa 'wanasema' au 'wanadhani' jambo fulani wakat ni mawazo yako. Vinginevyo tuwekee bayana hao 'watu' ni akina nani vinginevyo ni vigumu kuamini hicho...
Naamini tutasikia mengi zaidi kadiri siku zinavyosonga mbele. Na huu ndio wakati wa kuwapima wapi ni 'viongoz' na wapi si viongozi. Pia tutajua wapi ni 'wanafiki', na kwa kiasi gani. Karibu tutawasikia hata wale walikuwa wakiwasifia watu kama Lowassa, sasa wataanza kutangaza upande wake wa pili...
Huo ni 'muono' wako, sio wa 'vijana wengi wa nchi hii' kama unavyodai. Hoja uliyoitoa ni nzuri, lakini usiihalalishe kwa kutumia 'muono' wako kama muono wa unaowaita vijana wengi wa nchi hii.
Kiuhalisia nimeshindwa kutambua hoja ya mada hapo juu. Mada imejaa ushabiki mkubwa badala ya kuthibitisha objectively juu ya hicho ambacho mwandishi anakiamini. Suala la kwamba eti wote waliokuwa wakishinikiza wahusika wa kashfa ya escrow wajiuzulu wana ugomvi na Muhongo binafsi sioni kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.