Recent content by MUSHEKY

  1. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, Soko la Kariakoo halihitaji muwekezaji kutoka nje waachie wazawa wanufaike nalo

    Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Imepita zaidi ya mwaka na ushee hivi toka Soko Kuu la Kariakoo ambalo ni kitovu cha biashara katika nchi yetu na nchi zinazotuzunguka kuteketea kwa moto. Sikumbuki kama tuliambiwa sababu ya kuungua soko hili wala hatua zilizochukuliwa kwa...
  2. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

    Hao wote ni tenderpreneur Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  3. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Sakata la Bandari: Muungwana akivuliwa nguo huchutama

    Hizi kinga yabidi ziondoke ili hofu ya mali za watu iwajae Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  4. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Sakata la Bandari: Muungwana akivuliwa nguo huchutama

    Acha niendelee kulewa pengine nitakuelewa baadae Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  5. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa Kuwakumbusha members walioahidi kuleta nyuzi zao humu JF

    Kuna yule bwana alikula tunda kimasihara aliahidi kuielezea kwa utulivu zaidi pliiiz timiza ahadi yako ndugu kua muungwana Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  6. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Sakata la Bandari: Muungwana akivuliwa nguo huchutama

    Mods tafadhali kichwa kisomeke sakata Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  7. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Sakata la Bandari: Muungwana akivuliwa nguo huchutama

    Bila salamu nijielekeze moja kwa moja kwenye mada Kama binadamu (sio robot) leo nimeona nitimize wajibu wangu kuongea machache yanayohusiana na sakata la hizi bandari zetu Kwanza kabisa niwakumbushe watawala wote (hasa wale wa ngazi zinazonyenyekewa) akiwemo Rais wa jamhuri ya muungano wa...
  8. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

    We choccobenga Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  9. MUSHEKY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Othman Kazi: Penati mbili kati ya tatu za Ngao ya jamii zilipaswa kurudiwa

    Kauli yake ni sheria? Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  10. MUSHEKY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Othman Kazi: Penati mbili kati ya tatu za Ngao ya jamii zilipaswa kurudiwa

    Huyo kazi ndio nani Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  11. MUSHEKY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Inasemekana bifu zito kati ya Mtendaji wa Shirikisho na Mmiliki wa Tabora United ndio sababu ya kucheza pungufu

    Mpe credit zake oscar oscar haya maneno si yako kayasema yeye Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  12. MUSHEKY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uingereza inafikiria kumpa kazi mwanamke kuinoa timu ya taifa ya wanaume

    Machocle kwenye ubora wao wanaweza kuamua lolote Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  13. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Balozi Mbelwa Kairuki kwenda Uingereza na Balozi Khamis Mussa Omar kwenda China ni tatizo

    Mtoa mada acha udini jadili hoja "Qmmk'O" Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  14. MUSHEKY

    JamiiForums Tanzania Ahukumiwa kwenda jela miaka 4 kwa kumuua mkewe baada ya kumfumania na jirani yake

    Mbona lulu kaachiwa kirahisi vile? Wamwachie mwamba Haki ya maskini ipo mbinguni Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom