Recent content by Mushale

  1. M

    Wait for me, I'm also coming.

    hahahaha nimeipenda
  2. M

    Miji mikubwa 10 Tanzania kwa idadi ya watu

    Hee!! nini kimetokea Zanzibar na kupunguza idadi ya watu kiasi hiki! Sensa iliopita Pemba ilikua na zaidi ya watu 200,000 na unguja zaidi ya watu 1,800,000 ambayo ilikua inafanya Zanzibar iwe na watu zaidi ya 2,000,000. Sasa kutoka Milion 2 hadi laki 3 mmmmh!
  3. M

    Maskini Wambura...

    Mtoa mada umenena kweli, mungu anwezayote so tumtegemee yeye pekee.
  4. M

    Hodi jukwaani.

    Naomba kupokelewa wana jf, ukarimu wenu ndio faraja kwangu.
Back
Top Bottom