Kuna watu wana akili ndogo sana MTU analishwa story za vijiwen huko halafu anakaa nyuma ya kicharazio kuanza kuaminisha watu story hizo hivi kwann kama MTU hujui kitu usiulize na kuelewa kabla ya kuongea pia watanzania tumekuwa watu wa ajabu sana kila story tumekuwa watu wa kuamin tu bila...
Duh kama mm ilikuwa mwaka 2013 mliman city crdb mm ilibadilika kidogo mwenye pesa dollar alikuwa mmama kiswahili utadhan kashuka kutoka mtwara Leo mm pia nilifika stage zote kama ww nilikuja stuka jamaa ananiambia tukamchukulie lodge huyu mama...!
Nilimuuliza jamaa HV ww haupo nae huyu mama...
Hili tapeli kama si tapeli limeweza weka jina na picha yake liweke kama kweli weka udhibitisho wa vyeti na mambo mengine ingawaje bado siwez kukuamin.
Tafuta shamba ulime bro unaweza pata pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.