Inasikitisha sana kuona wanasiasa wetu wanaojiita wazalendo, kuwa na malimbikizo na misururu ya marupurupu na posho starehe, kusinzia, kupiga meza na kupongezana kuchaguliwa tena, tena wakiwa hawakatwi kodi na baada tu ya muhula wao kwisha ,bila kuchelewa, wameshachukua chao.
TENA...
ninyi c ndo wale wa kura zote kwa ccm na cwt ndo mpaka kinagawia fedha sirikali na cwt kumejaa makada wa chama.cwt ni maficho ya makada chipukizi wa chama. TULIENI TU KIMYAA mnyolewe!
Ndugu wanajamvi, nimefuatilia kwa umakini kongamano/mkutano wa viongozi wa dini CHIMWAGA-DODOMA.
KONGAMANO limejaribu kutuweka TANZANIA kuwa nchi ya umoja,amani, na mshikamano. Pia limajaribu kuunga dot za utawala uliopita na wa sasa. PAMOJA na kuwaasa wanasiasa waache kutubagua WATANZANIA...
naona kila mtu ana fikra tofauti ,tumuache mama afanye kazi tumpe muda tumuone jamani, haya ya kutuuza yatoka wapi tena? tumpe vigelegele tu kwa mwanzo mzuri then akiharibu tusemeee maana katupa uhuru huooo!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.