Recent content by musa yasini

  1. musa yasini

    Twitter bila VPN yarejea nchini Tanzania

    je kwa TZ, tweeter bila VPN iimefunguliwa? nijuzeni bandugu!
  2. musa yasini

    Aiyenacho hata kidogo hunyang'anywa

    Inasikitisha sana kuona wanasiasa wetu wanaojiita wazalendo, kuwa na malimbikizo na misururu ya marupurupu na posho starehe, kusinzia, kupiga meza na kupongezana kuchaguliwa tena, tena wakiwa hawakatwi kodi na baada tu ya muhula wao kwisha ,bila kuchelewa, wameshachukua chao. TENA...
  3. musa yasini

    Kuelekea Mei Mosi, Walimu tunaomba Rais Samia Suluhu uunde tume ya kuichunguza CWT

    ninyi c ndo wale wa kura zote kwa ccm na cwt ndo mpaka kinagawia fedha sirikali na cwt kumejaa makada wa chama.cwt ni maficho ya makada chipukizi wa chama. TULIENI TU KIMYAA mnyolewe!
  4. musa yasini

    Mitindo ya unyoaji wa nywele kwa watumishi wa umma

    wee mtumishi wa umma unawaza mitindo ya kunyoa? nenda kwenye sanaa huko unanichefua
  5. musa yasini

    Ushauri wa wazi kwa Wizara ya Elimu na NECTA

    Hili lifike mahala husika.
  6. musa yasini

    Yaliyojiri: Kongamano la viongozi wa dini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Magufuli na kuwabariki Rais Samia na Mwinyi

    Ndugu wanajamvi, nimefuatilia kwa umakini kongamano/mkutano wa viongozi wa dini CHIMWAGA-DODOMA. KONGAMANO limejaribu kutuweka TANZANIA kuwa nchi ya umoja,amani, na mshikamano. Pia limajaribu kuunga dot za utawala uliopita na wa sasa. PAMOJA na kuwaasa wanasiasa waache kutubagua WATANZANIA...
  7. musa yasini

    Zitto: Tulikuwa tunafanya propaganda za kwamba tunafufua Shirika la Ndege

    haya bana mnaowaza kwa kutumia akili za 1977, sisi mtuacheeeeeee na CDM YETUUUU
  8. musa yasini

    RIPOTI YA CAG: CHADEMA ilitumia Tsh Milioni 377 bila idhini ya Baraza la Chama

    hahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  9. musa yasini

    Hotuba ya Rais Samia yenye tabasamu kwa watanzania iliyo beba kiza cha maendeleo ya nnchi

    naona kila mtu ana fikra tofauti ,tumuache mama afanye kazi tumpe muda tumuone jamani, haya ya kutuuza yatoka wapi tena? tumpe vigelegele tu kwa mwanzo mzuri then akiharibu tusemeee maana katupa uhuru huooo!!!!!!!!!!!!!!!
  10. musa yasini

    Hotuba ya Rais Samia yenye tabasamu kwa watanzania iliyo beba kiza cha maendeleo ya nnchi

    Nimwfarijika sana baada ya kusikiliza hotuba ya Mama Samia Suluhu Hassan , The President of the United Republic of Tanzania yajayo yananipa matumaini.
  11. musa yasini

    Rais Samia Suluhu Hassan ameanza mchezo vizuri sana

    mpaka leo hujawahi kumwelewa tu?
  12. musa yasini

    Kama Magufuli hakuvaa viatu vya Kikwete, mama Samia hawezi kuvaa viatu vya Magufuli

    kwann kulazimisha mtu kuvaa maviatu ya ntu mwingine? kila mtu na guu na namba yakeee!! nafikir twaelewana eeh njombaaa
  13. musa yasini

    Wapinzani ndio walio shauri tununue ndege tena wakaanza kuzipinga

    Hakuna hata mmoja haapo aliyesema mnuunue nyingi bila kuangalia ushindani wa soko wala hakuna aliyeshauri zinunuliwe kwa misifaa, NOTHING!
  14. musa yasini

    Bei ya Vifurushi itamuondoa mtu next week..

    asenteeee... ungegusia na tweeter yetu irudishweeee tuachane na ma VPN tuwe taifa huru kimawasiliano
Back
Top Bottom