Recent content by Musa Kadiko

  1. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania TRC na WFP imepokea Taarifa ya Utafiti wa Usafirishaji wa Mazao ya Mbogamboga na Matunda

    Shirika la Reli Tanzania - TRC na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani - WFP limepokea taarifa ya utafiti wa usafirishaji wa mazao ya mbogamboga na matunda kwa njia ya reli kutoka katika Kampuni ya Innovex Development Consultant Limited kwenye kikao kifupi kilichofanyika katika ukumbi wa...
  2. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania Wanachama wa huduma za usafirishaji wa majini watembelea Mradi wa SGR

    Taasisi ya Huduma za Usafirishaji wa Majini (ISCOS) inayojumuisha wanachama wa nchi tano ambazo ni Tanzania, Uganda, Kenya, Zambia na DRC imetembelea TRC katika jengo la stesheni ya SGR Dar es Salaam 01, Machi 2023.
  3. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

    Behewa 14 za SGR zaanza kuwasili nchini tanzania kutokea nchini Korea Kusini.
  4. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

    Behewa 14 za SGR zimeanza kuwasili nchini Tanzania kutoka nchini Korea Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake mpaka mradi ulipofikia hivi sasa
  5. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania TRC imesaini mkataba wa ununuzi wa mashine na mitambo ya matengenezo ya njia ya SGR

    Shirika la Reli Tanzania – TRC na Kampuni ya Sung Shin Rolling Stock Technology (SSRST) kutoka nchini Korea Kusini wamesaini mkataba wa ununuzi wa mashine na mitambo ya matengenezo ya njia ya reli ya kisasa – SGR, Hafla hiyo imefanyika makao makuu ya TRC jijini Dar es Salaam Novemba 07, 2022.
  6. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania TRC inaendelea na kampeni ya uelewa katika mradi wa ujenzi SGR

    Shirika la Reli Tanzania linaendelea kutoa elimu katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa - SGR kipande cha 5 Isaka - Mwanza
  7. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania Behewa za SGR zimekamilika

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa behewa.
  8. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania TRC inashiriki maonesho ya Mashirika ya Reli ya Ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika

    Muonekano wa banda la Shirika la Reli Tanzania katika maonesho ya mashirika ya reli ya ukanda wa jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika, SARA Rail Conference and Exhibition 2022, yanayofanyika Johannesburg nchini Afrika ya Kusini tarehe 26 hadi 28 Oktoba, 2022.
  9. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania TRC Yasaini Mkataba Ukarabati wa Reli ya Kaliua - Mpanda

    Kampuni ya CCECC kuanza ukarabati wa reli kutoka kaliua mpaka Mpanda umbali wa Km 120, pia TRC imesaini mkataba wa ukarabati wa daraja la Godegode, Mpwapwa Mkoani Dodoma
  10. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania Behewa za SGR zimekamilika

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa behewa
  11. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania Behewa za SGR zimekamilika

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa behewa.
  12. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania TRC inaendelea na kampeni ya uelewa Mwanza - Isaka

    TRC inaendelea na kampeni ya uelewa Mwanza - Isaka
  13. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania TRC inaendelea na zoezi la malipo ya fidia

    Wananchi wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro wanufaika na Fidia ===== Shirika la Reli Tanzania - TRC linaendela kuwapatia malipo ya fidia wananchi wa wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro il kupisha mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa SGRkipande cha pili Morogoro Makutupora kwenye zoezi la malip0 ya...
  14. Musa Kadiko

    JamiiForums Tanzania TRC yaadhimisha kilele cha wiki ya usalama wa reli

    Shirika la Reli Tanzania – TRC kwa kushirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia – TAZARA, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini – LATRA, Wakala wa Barabara Tanzania – TANROADS, Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini – TARURA wameadhimisha kilele cha wiki ya...
Back
Top Bottom