Behewa za SGR zimekamilika

Behewa za SGR zimekamilika

Musa Kadiko

Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
16
Reaction score
18
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa behewa.
BEHEWA.jpg
 
Mbona demonstration ya SGR NI tofauti na reality, Kwann wameshindwa kutuletea mabehewa ya kisiasa.
Na ndio maana wenye mabasi bado wanazidi tu kuagiza mabasi , wanajua hawana mshindani
 
Haya mabehewa yangetengenezwa uturuki Tu , pengine yangekuwa mazuri, sijaona sababu ya kwenda korea kutengeneza mabehewa Kama yadizel ya nchini kenya
 
Haya mabehewa yangetengenezwa uturuki Tu , pengine yangekuwa mazuri, sijaona sababu ya kwenda korea kutengeneza mabehewa Kama yadizel ya nchini kenya
Kwa kifupi miradi aliyoiacha Jpm imewashinda hapo wanajilazimisha tu kuifanya
 
Tuliambiwa tungeletewa mabehewa used Sgr ianze kazi lkn kimya hakuna taarifa yoyote nchi ngumu sana hii.
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa behewa
 
Back
Top Bottom