Musa Kadiko
Member
- Jun 15, 2022
- 16
- 18
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa behewa.
Hii treni ya mwendokasi na lile ngarangara la dizeli hayana utofauti kama ndiyo behewa zenyewe ninavyoziona!Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa BEHEWA.View attachment 2398341
Mbona mabehewa kama mizinguko ya Linolino, Mwailubi na Mgangaluma?Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa behewa.View attachment 2398341
Tumeletewa mabehewa ya diesel engineDuh nini tena
Ova
Kwa kifupi miradi aliyoiacha Jpm imewashinda hapo wanajilazimisha tu kuifanyaHaya mabehewa yangetengenezwa uturuki Tu , pengine yangekuwa mazuri, sijaona sababu ya kwenda korea kutengeneza mabehewa Kama yadizel ya nchini kenya
Mabehewa ya SGR yamekamilika.Kiswahili fasaha kizingatiwe.Kuandika lugha ambayo huwa mnatumia wakati mnapukuchua mahindi JF haitakiwi.Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametembelea nchini Korea katika kampuni ya SSRST kuona ukamilishaji wa utengenezaji wa behewa.View attachment 2398341
Wapi? Superdoll, quality group, Nanak body au Kibaha kwa Nyagawa?Kwahiyo tumeshindwa kuunda hata mabeheea tu?