Musa Kadiko
Member
- Jun 15, 2022
- 16
- 18
Shirika la Reli Tanzania – TRC na Kampuni ya Sung Shin Rolling Stock Technology (SSRST) kutoka nchini Korea Kusini wamesaini mkataba wa ununuzi wa mashine na mitambo ya matengenezo ya njia ya reli ya kisasa – SGR, Hafla hiyo imefanyika makao makuu ya TRC jijini Dar es Salaam Novemba 07, 2022.