Mtoa post sio mzima, kuna neno umeandika bila sababu!!!! Haa yaani wizi wote huo sio sababu??? Good governance ya jk ndio imetufikisha hapa, kama mbinu hazitusaidii ya nn kuzifuata, bora iwe hvyo tu labda kama angekuwa anawasingizia
Umekariri, ukiona chama hakiondolewi ujue kimeleta maendeleo, mfano chna walifanya mapinduzi 1949, kwa maana nyingine aliyekuwepo kipindi hicho alizingua, ukipiga hesabu tangu mapinduzi mpaka leo ni miaka mingap???, na sisi Tz na liccm tuna miaka mingapi?? Itazame kenya ya leo ya upinzani ni...
Mimi nataka kuuliza hv, kuzaa ni aibu? Na je kama umri wa kutokuzaa kitaalam haujafika watu wasizae? Pengine kama alivyoandika azzure kwamba tunasumbuliwa na mitazamo ya binadamu wenzetu
Usiwachagulie UKAWA, kiongozi wa kugombea, muda ukifika watawania nafasi na watakaoteliwa wenyewe, ccm mna tatizo kubwa la kutaka kushughulikia vyama vya upinzani badala ya kuwatumikia wananchi na ndio maana jamii imeanza kuwakataa kwa kasi kwani uwekezaji wenu upo kwenye kutaka kuua vyama vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.