Recent content by Murr Mull

  1. Murr Mull

    NIDA yapata tuzo ya vitambulisho bora vya Uraia Afrika

    Africa ni mahala pa vivutio vya utalii tu, hicho ni kivutio kingine cha utaliii.
  2. Murr Mull

    Wajumbe baraza la Wawakilishi(CUF-Zanzibar) kuishtaki SMZ

    Uchaguzi wa Zanzibar ni kipimo cha akili ya watawala.
  3. Murr Mull

    Samwel Sitta: Siasa basi! Aamua kuwa mwandishi wa vitabu na mshauri

    Sita alikuwa mwanasiasa mzuri, ila hakuwa na mwisho mzuri
  4. Murr Mull

    CHADEMA bila Dr. Slaa haina dira wala hamasa (CHADEMA without Slaa lacks vision and enthusiasm)

    Nafikiri kama Slaa angekuwa hatokei kaskazini na sio Mkiristo mngeandika kitabu kabisa.
  5. Murr Mull

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Mtoa post sio mzima, kuna neno umeandika bila sababu!!!! Haa yaani wizi wote huo sio sababu??? Good governance ya jk ndio imetufikisha hapa, kama mbinu hazitusaidii ya nn kuzifuata, bora iwe hvyo tu labda kama angekuwa anawasingizia
  6. Murr Mull

    Hakuna nchi iliyoendelea kwa kubadilisha Chama!

    Umekariri, ukiona chama hakiondolewi ujue kimeleta maendeleo, mfano chna walifanya mapinduzi 1949, kwa maana nyingine aliyekuwepo kipindi hicho alizingua, ukipiga hesabu tangu mapinduzi mpaka leo ni miaka mingap???, na sisi Tz na liccm tuna miaka mingapi?? Itazame kenya ya leo ya upinzani ni...
  7. Murr Mull

    Kuikomboa CCM: Watanzania huu ni wakati wa maamuzi magumu!

    Mtaji wenu wanao mafisadi, na ndio dira yenu maana wanawaongoza, mwaka huu mtatapika damu sio kutoka jasho tu
  8. Murr Mull

    Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    Zaidi ya miaka miwili, ni mitatu na nusu
  9. Murr Mull

    Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    Yupo india huko, eti anaaga,
  10. Murr Mull

    TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

    Inna Llahi wainna ilayih raajiuun, Itv wamethibitisha
  11. Murr Mull

    Wanawake ukiona binti yako ametimiza miaka 17 usibebe ujauzito

    Mimi nataka kuuliza hv, kuzaa ni aibu? Na je kama umri wa kutokuzaa kitaalam haujafika watu wasizae? Pengine kama alivyoandika azzure kwamba tunasumbuliwa na mitazamo ya binadamu wenzetu
  12. Murr Mull

    Taarifa ya Zitto Kabwe kuhusu Gazeti la Taifa Imara

    Kwani hii ni movie mpya au ndio muendelezo wa season za escrow ila rafiki wa stering kawa jambaz kuu?
  13. Murr Mull

    Lipumba ndiye mwenye afadhali UKAWA

    Usiwachagulie UKAWA, kiongozi wa kugombea, muda ukifika watawania nafasi na watakaoteliwa wenyewe, ccm mna tatizo kubwa la kutaka kushughulikia vyama vya upinzani badala ya kuwatumikia wananchi na ndio maana jamii imeanza kuwakataa kwa kasi kwani uwekezaji wenu upo kwenye kutaka kuua vyama vya...
Back
Top Bottom