Recent content by Teknolojia ni Yetu sote

  1. Teknolojia ni Yetu sote

    Message ya kwanza ilitumwa miaka 31 iliyopita

    Imepita zaidi ya Miaka 31 tangu message ya kwanza kutumwa duniani kupitia simu mpaka kufikia Leo hii Kuna zaidi ya message trilioni zimetumwa ulimwenguni kupitia simu. Turudi Nyuma mpaka mwaka 1992 kampuni ya Vodafone ndo ilikua kampuni ya kwanza kuruhusu watu kuweza kurushiana message kwa Kila...
  2. Teknolojia ni Yetu sote

    ๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐˜„๐—ถ๐—ณ๐—ถ

    Hivi unajua Unaweza kutumia wifi kupiga simu , kupokea au kutuma ujumbe wa Sms kupitia simu yako ikiwa mtandao unasumbua na haupatikani kabisa. Matoleo mengi ya simu kuanzia mwaka 2015 yana hii huduma ya kuweza kutumia wifi kupiga simu kwenye maeneo ambayo mtandao hakuna au unasumbua balaa...
  3. Teknolojia ni Yetu sote

    Whatsapp kushare status Instagram

    [emoji50][emoji50][emoji50]ccm tenaa
  4. Teknolojia ni Yetu sote

    Whatsapp kushare status Instagram

    Mtandao wa Whatsapp ambao ukitoa feature Nyingi mpya inaonekana inachukua toa telegram [emoji16], hatimaye Whatsapp wako kwenye mchakato wa kuleta feature mpya kwenye status. Meta inataka kufanya app zake mbalimbali kama vile Facebook, Instagram, threads na Whatsapp ziweze kuingiliana bila...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    ๐—ก๐—ถ ๐—ธ๐—ผ๐˜€๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐˜๐—ฎ๐—ฟ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐˜€๐—ผ๐˜‚๐˜๐—ต ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ

    Mamlaka huru ya mawasiliano nchini Afrika kusini (icasa) imetoa onyo kwa mashirika, kampuni au watu mbalimbali ni haramu au marufuku mtu kutumia mtandao wa Starlink. Mamlaka hiyo ya Icasa iliweza kutoa Onyo kupitia kinotisi kilichochapishwa kwenye gazeti la Serikali siku ya jumanne ambayo...
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    Tatizo la simu kujizima unapoiweka sikioni shida ni nini?

    Umeshawahi kuona simu yako unapoweka sikioni wakati umepigiwa au unasikiliza voice note inajizima ? Je shida inakuwaga Nini unakuta mtu kakupigia simu unaweka sikioni kioo kinazima. Lazima ujue kwenye simu yako Kuna kitu kinaitwa ๐—ฃ๐—ฟ๐—ผ๐˜…๐—ถ๐—บ๐—ถ๐˜๐˜† ๐—ฆ๐—ฒ๐—ป๐˜€๐—ผ๐—ฟ,ni ki hardware kidogo ambacho kinapatikana...
  7. Teknolojia ni Yetu sote

    Laptop yangu ina shida ya internet

    Ingia kwenye device manager Kisha tafuta network sikumbuki jina vizuri alafu right click Kisha uninstall [emoji119][emoji119]
  8. Teknolojia ni Yetu sote

    Utafiti unaonyesha miaka ya mbele masaa yataongezeka na kuwa 25hrs kw siku

    Urefu wa Miaka ya Dunia unabadilika kila baada Muda kipindi Cha Miaka ya dinosaur (wale wanyama wakubwa ulimwenguni) kulikua ni kipindi ambacho Dunia ilikua na masaa 23hrs. Mabadiliko ya Sayari yalipelekea kufikia saa 24hrs, Sasa Miaka milioni 200 kuanzia sasa saa kwa siku itaweza kuongezeka na...
  9. Teknolojia ni Yetu sote

    Elon musk ameamua kuwatukuna wadhamini sasa

    Siku ya jumatano bilionea namba Moja ulimwenguni Elon Musk aliwashangaza watu wengi ulimwenguni kutokana na kauli yake ya utata dhidi wa wadhamini mbalimbali kupitia mtandao wa X kwa kusema Go f***k yourself [emoji2]. Kupitia mkutano wa New York times aliweza kutoa msimamo wake kuhusu kampuni...
  10. Teknolojia ni Yetu sote

    Telegram imeachia ujumbe wa kutafsiri sauti

    Mtandao wa Telegram imeachia feature mpya kwa watumiaji wake kuwa na uwezo wa kutafsiri sauti kuwa maandishi kwa urahisi kupitia simu zao. Inaitwa voice Transcription mwanzoni ilikua inapatikana kwa watumiaji ambao ni premium pekee lakini sasa kwa watumiaji wote lakini wasio lipia Bado wamepewa...
  11. Teknolojia ni Yetu sote

    WhatsApp kutumia Username badala namba ya simu

    Whatsapp Bado wanamalizia kufanyia marekebisho kadhaa kuweza kuachia feature mpya ya ๐—จ๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฒ kwa watumiaji wa mtandao wa WhatsApp ulimwenguni kote. Kupitia repoti yaWabetainfo wamesema watumiaji wa Whatsapp wataweza kuchagua ๐—จ๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฒ kuweza kutumia kwenye Whatsapp ambapo utakua na uwezo wa...
  12. Teknolojia ni Yetu sote

    ๐—ž๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ถ๐—ข๐—ฆ ๐Ÿญ๐Ÿด ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—š๐—ฏ

    Kuna ripoti inaonyesha toleo jipya la iOS 18 litakapo Toka litaweza kuwa na uwezo wa kuruhusu watu kuweza ku install app nje ya app store kwa urahisi. Mabadiliko haya yataweza kuifanya simu za iphone zenye kupokea iOS ya 18 kuwa na uwezo wa kuweka app zilizopo nje ya app store (modded apps)...
Back
Top Bottom