Recent content by Mupirocin

  1. Mupirocin

    PostGE2025 Vitu viliyokufa baada ya MO29

    Vijana kutoka Kenya 🇰🇪 hawa hapa ndo waliokuwa front line
  2. Mupirocin

    Mke wangu kaamka alfajiri anaona anatoka maji maji ya njano tatizo ni nini?

    Candida inatoa weupe mzito kama maziwa ya mgando. Lakini gonorrhea inatoa uchafu wa njano au mweupe but maji maji mepesi sana. Wakati wa sex anapata maumivu sana. Dalili huwa zipo but huchelewa ukilinganisha na mwanaume. Mwanaume anapata dalili within 24 to 48 hrs. Wakati mwanamke anaweza chukua...
  3. Mupirocin

    Mke wangu kaamka alfajiri anaona anatoka maji maji ya njano tatizo ni nini?

    Magonjwa ya zinaa hayo. Na more likely Gonorrhea. Ndo Huwa na sifa hizo. Sasa muanze kujikagua. Na matibabu hapo ni wote lazima mpate matibabu otherwise kana kuwa kaduara unapona, unapata 😂
  4. Mupirocin

    Niliwahi kuidukua simu ya Ex wangu kwa kumzawadia simu niliyoidukua bila yeye kujua. Nilichokitafuta nilikipata na siwezi tena kurudia

    Pole ulikosea Ulikosea sana. Wenzio unapoona dalili za kutongkzwa tongozwa unatakiwa kumpa alerts kuwa unajua. Wakati mwingine unatoa majibu aliyo yatoa yeye au yule anayechat naye. Akishajua unajua na unafuatilia anakuwa mpole. Hawezi kuwa huru sana na simu yake. Kusudi hata akitongozwa awe...
  5. Mupirocin

    Niliwahi kuidukua simu ya Ex wangu kwa kumzawadia simu niliyoidukua bila yeye kujua. Nilichokitafuta nilikipata na siwezi tena kurudia

    Pole ulikosea Ulikosea sana. Wenzio unapoona dalili za kutongkzwa tongizwa unatakiwa kumpa alerts kuwa unajua. Wakati mwingine unatoa majibu aliyo yatoa yeye au yule anayechat naye. Akishajua unajua na unafuatilia anakuwa mpole. Hawezi kuwa huru sana na simu yake. Kusudi hata akitongozwa awe...
  6. Mupirocin

    Mke wangu ana tabia za wizi na udokozi

    Mpe hela ya kutosha au mpe account awe ana control yeye, ataacha. Hawezi iba. Akijiibia ikiisha unabaki kumwangalia awe na options atakuwa na akili
  7. Mupirocin

    Nilimuacha mke wangu kisa ndugu zangu najutaa jamanii

    Pole ulikosea hukutaka lawama. Yaani mlitakiwa kubaliana kama ipo unamwambia mkeo atume. Kama haipo wewe ndo uwajibu. Usimwache yeye awe mzungumzaji wa familia. Ulikosea. Mzungumzaji wa familia ni baba siyo mama.
  8. Mupirocin

    Chuki za Polepole kwa Samia kuwa rais zilianza zamani baada ya Magufuli kufariki

    Naunga mkono hoja. Chuki yake haina maana. Kama waliruhusu awe makamu wa Rais, maana yake walikubali pia kuwa siku moja anaweza kuwa Rais. Sasa kama walikuwa na maono hayo walitakiwa wamzuie asiwe makamu. Kama hawakuona hili basi walikuwa vipofu. Wasituchoshe Urais mtanzania yeyote anaweza kuwa...
  9. Mupirocin

    GE2025 Matokeo ya ushindi Kangi Lugola Jimbo la Mwibara yagubikwa na Sintofahamu

    Jimbo la Mwibara ni miongoni mwa majimbo matatu ya Wilaya ya bunda. Wilaya ya Bunda ina majimbo matatu ambayo ni Bunda mji, Bunda vijijini na Mwibara.
  10. Mupirocin

    Najuta kumsamehe mke wangu, ilikuwa kidogo tu nipoteze maisha. Naombeni ushauri

    M Mwache aende jela huyo siyo mtu. Ni shetani. Utakufa wewe uache watoto unao wapigania
  11. Mupirocin

    Tundu Lissu leo amejitetea kwa umahiri mkubwa sana kisheria, laiti Mahakama zingelikuwa huru, leo angelikuwa uraiani

    Mazingira ya hizo case zote hayaendani na case yake. Jaji ameanarate vizuri sana. Pia hoja za mwanasheria wa serikali zilikuwa strong 💪 kuliko za Tundu. So usiweke ushabiki. Tundu kaanza kuchoka kukaa ndani. Haya mambo yasikie tu kwa jirani. Kukaa ndani siyo mchezo, hakizoeleki kule aise. Kwa...
  12. Mupirocin

    Huu mchepuko wa aina hii umenishtua kidogo

    Nilichojifunza ni hivi. Mtoto wa kiume aliye na nguvu nzuri kabisa huwezi mzuia na mchepuko hata awe papa, hata awe askofu. Ki asili wanawake wanaweza vumilia lakini mtoto wa kiume aliyebarehe hawezi. Kuna hali fulani hivi ukikaa hata wiki tu mbegu zikajaa kwenye vifuko vyetu hivi unahisi...
  13. Mupirocin

    Wanafunzi wa Vyuo na vyuo vikuu, Tumieni njia halali za kutafuta pesa. Mwenzenu yamemkuta

    Doreen habari! Mimi nipo chuo mwaka wa 2 hapa dar.Kuna rafiki yangu amenidhulumu pesa yangu yani amenifanya nifanye mambo machafu ya aibu na hela amekimbia nayo simu yangu hapokei. Naomba nisimulie kidogo dada Doreen Kuna wazungu hawaongei kingereza walikuwa wanahitaji wadada rafiki yangu hizo...
Back
Top Bottom