Candida inatoa weupe mzito kama maziwa ya mgando. Lakini gonorrhea inatoa uchafu wa njano au mweupe but maji maji mepesi sana. Wakati wa sex anapata maumivu sana. Dalili huwa zipo but huchelewa ukilinganisha na mwanaume. Mwanaume anapata dalili within 24 to 48 hrs. Wakati mwanamke anaweza chukua...
Magonjwa ya zinaa hayo. Na more likely Gonorrhea. Ndo Huwa na sifa hizo. Sasa muanze kujikagua. Na matibabu hapo ni wote lazima mpate matibabu otherwise kana kuwa kaduara unapona, unapata 😂
Pole ulikosea
Ulikosea sana. Wenzio unapoona dalili za kutongkzwa tongozwa unatakiwa kumpa alerts kuwa unajua. Wakati mwingine unatoa majibu aliyo yatoa yeye au yule anayechat naye. Akishajua unajua na unafuatilia anakuwa mpole. Hawezi kuwa huru sana na simu yake. Kusudi hata akitongozwa awe...
Pole ulikosea
Ulikosea sana. Wenzio unapoona dalili za kutongkzwa tongizwa unatakiwa kumpa alerts kuwa unajua. Wakati mwingine unatoa majibu aliyo yatoa yeye au yule anayechat naye. Akishajua unajua na unafuatilia anakuwa mpole. Hawezi kuwa huru sana na simu yake. Kusudi hata akitongozwa awe...
Pole ulikosea hukutaka lawama. Yaani mlitakiwa kubaliana kama ipo unamwambia mkeo atume. Kama haipo wewe ndo uwajibu. Usimwache yeye awe mzungumzaji wa familia. Ulikosea. Mzungumzaji wa familia ni baba siyo mama.
Naunga mkono hoja. Chuki yake haina maana. Kama waliruhusu awe makamu wa Rais, maana yake walikubali pia kuwa siku moja anaweza kuwa Rais. Sasa kama walikuwa na maono hayo walitakiwa wamzuie asiwe makamu. Kama hawakuona hili basi walikuwa vipofu. Wasituchoshe Urais mtanzania yeyote anaweza kuwa...
Mazingira ya hizo case zote hayaendani na case yake. Jaji ameanarate vizuri sana. Pia hoja za mwanasheria wa serikali zilikuwa strong 💪 kuliko za Tundu. So usiweke ushabiki. Tundu kaanza kuchoka kukaa ndani. Haya mambo yasikie tu kwa jirani. Kukaa ndani siyo mchezo, hakizoeleki kule aise. Kwa...
Nilichojifunza ni hivi. Mtoto wa kiume aliye na nguvu nzuri kabisa huwezi mzuia na mchepuko hata awe papa, hata awe askofu. Ki asili wanawake wanaweza vumilia lakini mtoto wa kiume aliyebarehe hawezi. Kuna hali fulani hivi ukikaa hata wiki tu mbegu zikajaa kwenye vifuko vyetu hivi unahisi...
Doreen habari! Mimi nipo chuo mwaka wa 2 hapa dar.Kuna rafiki yangu amenidhulumu pesa yangu yani amenifanya nifanye mambo machafu ya aibu na hela amekimbia nayo simu yangu hapokei. Naomba nisimulie kidogo dada Doreen Kuna wazungu hawaongei kingereza walikuwa wanahitaji wadada rafiki yangu hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.