mimi hizi dini za kuletewa kila kitu szielewi wanatuaminisha mungu alikua kwao watakatifu wote wao maagzo yote walipewa wao asa huo si upuuzi ina maan mungu hakufika afrca yan sala za kuomba wanatutungia sjui salam maria sjui baba ulie mbinguni ata siwaelew ni bola kusali mizm
ukitaka kujua kwanini hatudondoki wala hatuhis kizunguzungu simple practical chukua maji yaweke kwenye kandoo kadogo au hata kikombe then zungusha kwa speed ukitumia mikono ukiwa kwenye costant speed maji hayo yakidondok hata tone basi kuna watu watakua wanaachwa na dunia ndo maana tunasema...
we mzee kumbe unatakiwa ufe ili kizazi kiendelee japo sikuombei hilo mungu anisamee . we mzee hujui kama ofsi zilifungwa na fomu hazkuludishwa baadhi mpaka watu wakapiga kelele ndpo jafo akasema watendaji waskimbie mwandishi gan wew wahovyo unaeandika bila kufatia, hivi hata kwa mawazo ya...
sijawahi kuona wala sifikilii uzalendo wake angekua mzalendo angewaacha wanahabari ilibtumchungyze na tujue makosa yake leo hii donald trump amechunguzwa na bado ni rais wa marekani Aka dunia ila wew ndugu unamuita mtu ambae hata ukitaja jna lake n kosa unamuita mzalendo go back ukasome sifa za...
hivi kumbe bado kuna watu hawawezi kujenga hoja yaani wew ndo wakusema anamisimamo inamaana kuvunja katiba ni msimamo this is bullshit yey ni nan katika nchi mpak amewafanya watu kusahau kua na yeye kuna misingi ya uongozi lazima aifate
Leo nimefikiria swali moja; Je, mimi ni mwili au ni roho?
Nimefikiria kinachotokea mpaka mtoto anazaliwa nimeshindwa kupata jibu.
Hebu fikiria kama nilivyofikiri mimi. Utagundua mwili ni kama gari umepewa uendeshe ila kuna baadhi ya vitu huwezi kuvifanya na vinatokea vyenyewe.
Mimi...
Ivi wew utaenda kumwombea baba ako barabara na huku barabar imesababisha watu kuvunjiwa makazi angalia watu wanavyo hangaika wanagalagala mbele za mawaziri ili nyumba zao ziludi hamna kitu ila nikegundua kitu asilimia ya watu wachache m cna chama ila nasema ccm waga kazi yenu nikutetea chama na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.