Wakuu habarini za mda huu! Kwanza natanguliza shukran kwenu. Kwa mwenye kufahamu au aliyesoma katika chuo kikuu cha science na techonolojia cha Mbeya na anafahamu juu ya upatkanaji wa hostel au kama kuna hostel zilizo nje na chuo.
Pia hata swala zima la upatkanaji wa chakula ukizngatia hasa...
Utegemee kikwete atimize ahadi yake? Umesahau aliposema hahitaji katiba mpya? Umesahau alivowabeza wapinzani walipokuja na mpango wa kuwasomesha bule wanafunzi? Labda umwambie anaitwa marekani hapo anaweza hata asile ili asichelewe. 2015 hawapati kura yangu hata nusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.