Recent content by Munkya

  1. M

    Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

    Muda huu kuna vurugu kubwa inaendelea maeneo ya Tunduma baina ya Wakristo na Waislam..chanzo ikiwa ni suala la kuchinja...Mpaka muda huu magari 8 wamechomwa moto na Msikiti mmoja umeshachomwa moto
  2. M

    Utabiri wa Mwalimu unatimia: CUF lazima ife tu!

    daah kweli tunatofautiana kwenye kuchambua mambo!!! inaonekana mpemba una chuki binafsi na watanganyika!!! angalia kuna siku na wewe utatakiwa kuingia na PASSPORT unguja kwani ubaguzi hautaishia hapo...ni hayo tu
  3. M

    Kimbelembele cha CHADEMA kimewatokea puani

    mbona hapo pembeni kuna kijna na njano??? huyo ni CCM..usidanganye UMMA
  4. M

    Mhasibu anahitajika haraka

    \ achen kutudhalilisha wahasibu jamani..kwa mujibu wa nbaa mhasibu ni yule mwenye cpa na uzoefu wa miaka mitatu na kusajiliw3a na nbaa..mtu mwenye diploma sio mhasibu..tafuta jina lingine kabla nbaa hawajakuchukulia hatua
  5. M

    M-pesa & tigo pesa

    commission inatolewa kwa rate zipi ili tujue zaidi
  6. M

    Nauza subwoofer

    mbona ametoa namba yake??!!! kwanini ucmpgie if you are interested??
  7. M

    Habari Mbaya kwa wanaotafuta kazi- Hakuna ajira mpya mwaka huu ila kwa Walimu na Madaktari

    hizo habari za kweli????????!!!!!..mbona tume ya ajira inatangaza ajira kilia cku...hivi karibuni auditors 100 wataajiriwa na NAO
  8. M

    interview FINCA

    mmm mbona leo wametangaza nafasi zingine kwenye THE GUARDIAN!!!!!!!!!! INAMAANA NYIE HAMNA VIGEZO????
  9. M

    Interview National Audit Office

    dah hii interview inakatisha tamaa sana kwani katka kanda zote tisa kuna watu 4040 walioitwa.. then wanatakiwa watu 100..tuu..hapo kwa tuliosoma hesabu probability ni 0.4 kupata!! idadi kubwa inaenda kuchukua uzoefu tuu
  10. M

    TRA - Assistant Tax Officer

    hizi nafasi mbona utata mtupu? taarifa imechelewa kupatikana...af kila m2 nikimuuliza anasema hajui
  11. M

    GE2010 Tusikubali kugeuzwa punda

    Huu ni wakati mwingine wa kutafakari umuhimu wa uongozi bora na viongozi wenye ubora unaotakiwa kutupeleka mbele. Hiki ni kipindi kingine cha kujiuliza maswali mengi kuhusu mustakabali wa Taifa letu na kuamua kuchagua watu ambao wanaweza kutuongoza katika kujenga mustakabali huo. Iwapo...
  12. M

    Be serious in your relationship

    ha ha ha wory not man...
  13. M

    Be serious in your relationship

    ?????????? What?
  14. M

    Be serious in your relationship

    i got u...it rely on true story...am not a doctor but whta i believe is what i wrote...you should know that the women are in very danger of being affected if slept with an infected man without using condom.
  15. M

    Be serious in your relationship

    A couple has been married for 5 years now. They have a 2 year daughter. Like any couple they have their ups and downs, that’s life. One day just after they had a fight over their differences of opinion, the wife went shopping at the local mall, where she bumped into her ex boyfriend from...
Back
Top Bottom