Zamani wakati prosecution inafanywa na wakamataji tulidhani charge sheet mbaya mbaya zilikuwa kwa sababu ya uelewa mdogo wa Sheria.Serikali ikatenganisha wanaosuspect na wanaoprosecute,Sheria ikaenda mbali kumpa prosecutor uwezo kukataa kuandaa hati ya mashtaka kama haoni facts za kosa husika...
Quality kwenye committee muhimu zinashuka madhara yake hata kiongozi wa chama hapati ushauri bora.Unakuta mtu wa kawaida yupo kwenye position nyeti atafanya mambo kawaida tu.Vyama vya ukombozi vimeanza kusahau watu ni mtaki bali sasa mtaji unageukia kwenye vyombo vya dola.Chama ni ushawishi...
Ndoa haifungwi faraghani,ili ndoa iwe halali inahitaji kutimiza matakwa ya sheria kwanza.Hoja ya Padre kufungisha ndoa na yeye haoi haina uhusiano na maisha ya ndoa bali ni uwezo wa kuapisha.
Vijana kwa sasa tumekuwa watu ambao hatujifunzi style za uongozi bali tunajifunza namna ya kumuwin mwenyekiti akupe cheo tu.Nina mifano mingi ya watu ambao wakiwa vijana walifaa kuwa viongozi wazuri lakini kwa ujinga wao wamepoteza sifa hasa wakati wa JPM waliamini kutukana wazee ndio njia ya...
Nchi inaelekea sehemu ya hatari sana.Sheria hazitumiki tena bali utashi wa watu ndio unatumika.Haya mambo yalikuwa huko Rwanda,Russia,Venezuela,Nicaragua sasa yamefika kwetu.Lakini ni jambo la hatari mno
Kwani watanzania huwa wanajua matumizi ya michango ya mabilionea wanayotoa kwenye vyama vingine.Mimi kwangu sioni kama wanatapeliwa wakati hakuna aliyewashawishi Chadema wameomba sasa mtu akiomba na kupewa kuna shida gani?
Kwenye miji mikubwa kama Dar es Salaam,Mbeya,Arusha,Mwanza kulipaswa kuwepo na ongezeko kubwa sana la Vyuo vya kati na vyuo vya ujuzi lakini ongezeko ni la machinga wa mitumba,bidhaa hafifu za chini,wachoma mahindi,wauza machunga badala ya vijana hao kuwepo kwenye site,viwanda,mikoani wakitumia...
Kumbe iliombwa.Ukiombwa unaweza kukubali au kukataa kadri utajavyoona inafaa.Lakini mwisho wa siku Tanzania ndio inapoteza hivyo.Kwenye biashara image ndio kitu muhimu kuliko pengine hata bidhaa shikika
Lakini anayetuhumu ndio anapaswa kuwa na ushahidi bahati mbayq sisi wananchi tunasikia tu tuhuma lakini hata figure za kiwango hakitajwi lakini sauti za akae pembeni kupisha uchunguzi ndio nyingi.Swali ni anakaa pembeni kupisha uchunguzi upi? Msingi wa kuchunguza ni upi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.