Recent content by Munjombe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Awamu ya 5 kuna Kiongozi mkosoaji alishambuliwa ilionekane ni Serikali

    Miziki mingine tunayotaka kucheza imetuzidi mno kiuwezo ni bora ukatengeza nyumba yako iwe salama.
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ofisi za CHADEMA Makao Makuu zimezingirwa na Polisi muda huu

    Kikwete ni bora sasa amashauri Samia kuwa hizi njia hazifai kwa Tanzania.Tanzania ilikuwa nchi ya mfano sisi wote wapenda haki na Amani hata kama sio wafuasi wa Chadema hayatufurahishi haiwezekani nchi moja wengine waishi kama waarikwa hilo linaondoa furaha,linaleta chuki na Sura yetu inachafuka...
  3. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Lakini Chadema hawakuwepo eneo la tukio na waliofanya overt walisamehewa sasa Criminality ya Chadema itatoka wapi? Criminality iliyobaki ni ya mauaji tu mambo ya kuchoma na soliciting yameshaisha.
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Sasa kama mnajua ni Chadema tume ya nini
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Jana mlimsikia Wasira lakini? Kama mlimsikia basi Hukumu imekwisha andikwa tunaenda kutafuta ushahidi kukamilusha hukumu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Msajili wa Vyama vya Siasa Ailima barua CHADEMA na kuipa Siku 13 Kujieleza Dhidi ya Tuhuma za Ukiukwaji wa Sheria ya Vyama vya Siasa

    Kuanzia 2015 hadi sasa nchi yetu inapita katika mstari mwembamba sana wa ustawi.JPM alifanya kosa kubwa sana kuruhusu mtindo mbaya sana wa teuzi za waliomsifia madhara yake leo watu hawaufanyii kazi umma wa watanzania wanafanyia kazi mshahara na cheo chake tu
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Corruption ndio tatizo wachina wanawapa rushwa sana watalaam wetu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rekodi ya Karne: Rais Samia Ahudhuria Kikao Cha Shina Chamwino Dodoma kilichoitishwa Na Balozi Wa CCM Shina.

    Mafuta yamepanda bei,miradi haiendi unataka tuanze kujadili Rais kuhudhuria kikao cha chama shinani.Haya amehudhuria what next?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Mwajiri anaitwa mtomvu wa nidhamu na mwajiriwa.Hii nchi haipigi hatua kwa sababu viongozi wanaona wao ni mabosi wa wananchi na sio wananchi kuwa mabosi wa viongozi.JPM kuna makosa alifanya yataendelea kulighalimu taifa kwa muda mrefu sio rahisi kuelewa ukweli huu lakini tupo hapa kwa mistake za JPM
  10. M

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    Nidhamu ya biashara na mtiririko mzuri wa urithi.Waafrica baba akizeeka au kufariki tunachowaza ni kugawana mali na sio kuendeleza
  11. M

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA kemeeni tabia za wafuasi wenu za kutukana viongozi wetu kupitia namba za simu

    Hivi wakati wa usajili wa Namba huwa kuna political party qualification ili kudetermine Namba na chama?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Anayetamani Makonda kuwa Rais hana akili timamu

    Nani ananyoshwa labda? Huyu vyeo vyake vilipaswa kuishia ukuu wa mkoa na huko chini kwenye vitisho uwaziri unahitaji akili zaidi.Jamaa hajui anachoongoza kwenye wizara kwake headlines ndio kitu muhimu sema aliyemteua anajua kwa nini alimpa asiye na uwezo nafasi kubwa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    No.3 inaonyesha ambavyo sasa tunaenda kwa njia ama tunabahatisha au lorri la maadili limefeli breki
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa Hii si kama kawe tu
  15. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Matukio ya Oktoba 29 yalipangwa na kufadhiliwa na watu waliopata mafunzo

    Hakuna kitu huzuka kama hewa hata mvua ni matokeo ya mipango ya mawimbi.Hoja sio kuratibiwa sababu iliyotufikisha hapo ndio inapaswa kutafutwa.Jambo lolote liwe bays au zuri huwa na mipangilio maalumu.Hata mataifa ya nje huwa yanaingia sehemu yenye matobo matobo.Kwani kulikuwa na slogan za...
Back
Top Bottom