Kikwete ni bora sasa amashauri Samia kuwa hizi njia hazifai kwa Tanzania.Tanzania ilikuwa nchi ya mfano sisi wote wapenda haki na Amani hata kama sio wafuasi wa Chadema hayatufurahishi haiwezekani nchi moja wengine waishi kama waarikwa hilo linaondoa furaha,linaleta chuki na Sura yetu inachafuka...
Lakini Chadema hawakuwepo eneo la tukio na waliofanya overt walisamehewa sasa Criminality ya Chadema itatoka wapi? Criminality iliyobaki ni ya mauaji tu mambo ya kuchoma na soliciting yameshaisha.
Kuanzia 2015 hadi sasa nchi yetu inapita katika mstari mwembamba sana wa ustawi.JPM alifanya kosa kubwa sana kuruhusu mtindo mbaya sana wa teuzi za waliomsifia madhara yake leo watu hawaufanyii kazi umma wa watanzania wanafanyia kazi mshahara na cheo chake tu
Mwajiri anaitwa mtomvu wa nidhamu na mwajiriwa.Hii nchi haipigi hatua kwa sababu viongozi wanaona wao ni mabosi wa wananchi na sio wananchi kuwa mabosi wa viongozi.JPM kuna makosa alifanya yataendelea kulighalimu taifa kwa muda mrefu sio rahisi kuelewa ukweli huu lakini tupo hapa kwa mistake za JPM
Nani ananyoshwa labda? Huyu vyeo vyake vilipaswa kuishia ukuu wa mkoa na huko chini kwenye vitisho uwaziri unahitaji akili zaidi.Jamaa hajui anachoongoza kwenye wizara kwake headlines ndio kitu muhimu sema aliyemteua anajua kwa nini alimpa asiye na uwezo nafasi kubwa
Hakuna kitu huzuka kama hewa hata mvua ni matokeo ya mipango ya mawimbi.Hoja sio kuratibiwa sababu iliyotufikisha hapo ndio inapaswa kutafutwa.Jambo lolote liwe bays au zuri huwa na mipangilio maalumu.Hata mataifa ya nje huwa yanaingia sehemu yenye matobo matobo.Kwani kulikuwa na slogan za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.