Recent content by Munjombe

  1. M

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa Hii si kama kawe tu
  2. M

    PostGE2025 Jaji Chande: Matukio ya Oktoba 29 yalipangwa na kufadhiliwa na watu waliopata mafunzo

    Hakuna kitu huzuka kama hewa hata mvua ni matokeo ya mipango ya mawimbi.Hoja sio kuratibiwa sababu iliyotufikisha hapo ndio inapaswa kutafutwa.Jambo lolote liwe bays au zuri huwa na mipangilio maalumu.Hata mataifa ya nje huwa yanaingia sehemu yenye matobo matobo.Kwani kulikuwa na slogan za...
  3. M

    Waziri Bashungwa pamoja na kazi nzuri unayoifanya kuna baadhi ya Watumishi wako wanakuharibia

    Petro ni kijana fulani wa hovyo analinga kwa sababu yupo ndani ya chama pia anasemekana kuwa undugu na Meneja baraba mkoa na wote ni wababaishaji tu
  4. M

    Wakili Msomi Rugemeleza Nshala usipotoshe watu, Tume ya Jaji Chande pekee ndio yenye uwezo wa Kumtuhumu mtu yoyote

    Hii tume haina mamlaka ya kumtuhumu mtu kwa kuwa aliyeunda Rais tume ikimtuhumu mtu maana yake Rais kamtuhumu mtu hiyo inaluwa ni defacto decree.Je kama serikali nayo inatuhumiwa tume itakaa upande upi?
  5. M

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Mimi nashauri serikali ili iwe huru itangaze kufuta private media zotee
  6. M

    SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

    Hivi hapa nani mwenyeji? Nani mkubwa?
  7. M

    Msaada kuhusu kubadilisha jina

    Hapana ni utaratibu wa kisheria Deed poll inakuwa kama certificate ndio maana lazima Iwe registered na serikali
  8. M

    Clement Mzize umemkosea heshima sana wakala wako, wachezaji wazawa ndio mana wengi hawafanikiwi kucheza nje ya nchi

    Point of correction Jasmine sio wakala hivyo kwa sheria za mpira hawezi kunegotiate au kuwa mwakilishi wa Mzize isipokuwa wachezaji wanachofanya ni kuwapelekea mikataba ili kupata ushauri wa kisheria.Mzize kunegotiate na Yanga sio kosa ila atapeleka mkataba kwa Jasmine ili kuona kama kuna...
  9. M

    Mnaokesha kuangalia video mnemba za Polepole, mmeamkaje kwa ile nyomi ya uzinduzi wa kampeni za CCM

    Kwani huyo pole pole alisema watu wasihudhurie mkutano?
  10. M

    Hii mikwaruzano ya ukatoliki na serikali haiwezi kuamsha chuki baina ya wakatoliki na waislam?

    Yaani akosolewe kiongozi then igeuke kuwa Agenda ya Kidini? Kwani baada ya Rais kuwa Muislam waislam wote wanaishi maisha ya peponi si wengi wao ukiondoa walioko kwenye mfumo tuko nao mjini na vijijini tukitaabika wote.Kanisa halina udini ndio maana ukienda kwenye shule,vituo au kwenye taasisi...
  11. M

    Ushauri wa Askofu Dullu kwa wastaafu serikalini kukubali kustaafu, mkafanye biashara na kulipa kodi kihalali, mmeupokeaje?

    Mbona unalalamikia sadaka sana kwani sisi tunalipa kodi na viongozi wanaishi kwa kodi zetu shida iko wapi? Hivi unajua sifa ya askofu wakatoliki unajua ni miradi mingapi anasimamia? Unajua ni miradi mingapi anaanzisha yenye faida na isiyo na faida.Usikalili kwamba kila kiongozi wa dini anasubiri...
Back
Top Bottom