Recent content by Munjombe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Remedy DPP anayoweza kuifanya ni kuiondoa Kesi dhidi ya Lissu Kisha kumkamata tena na ku fix ushahidi wake ambao umetupwa na mahakama zote mbili

    Zamani wakati prosecution inafanywa na wakamataji tulidhani charge sheet mbaya mbaya zilikuwa kwa sababu ya uelewa mdogo wa Sheria.Serikali ikatenganisha wanaosuspect na wanaoprosecute,Sheria ikaenda mbali kumpa prosecutor uwezo kukataa kuandaa hati ya mashtaka kama haoni facts za kosa husika...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Manara amuonya Heche, asema kama hamuwezi kuiongelea vizuri AFCON, kaeni kimya

    Mwanasiasa anamuonya mwanasiasa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Malema: CCM, na vyama vya ukombozi vinakufa kifo cha asili

    Quality kwenye committee muhimu zinashuka madhara yake hata kiongozi wa chama hapati ushauri bora.Unakuta mtu wa kawaida yupo kwenye position nyeti atafanya mambo kawaida tu.Vyama vya ukombozi vimeanza kusahau watu ni mtaki bali sasa mtaji unageukia kwenye vyombo vya dola.Chama ni ushawishi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Ndoa haifungwi faraghani,ili ndoa iwe halali inahitaji kutimiza matakwa ya sheria kwanza.Hoja ya Padre kufungisha ndoa na yeye haoi haina uhusiano na maisha ya ndoa bali ni uwezo wa kuapisha.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kahama VS Njombe/Mafinga

    Hii ndio tunaita mazaga zaga
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ccm ni chama au ni jeshi la kicomunist.

    Vijana kwa sasa tumekuwa watu ambao hatujifunzi style za uongozi bali tunajifunza namna ya kumuwin mwenyekiti akupe cheo tu.Nina mifano mingi ya watu ambao wakiwa vijana walifaa kuwa viongozi wazuri lakini kwa ujinga wao wamepoteza sifa hasa wakati wa JPM waliamini kutukana wazee ndio njia ya...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Nchi inaelekea sehemu ya hatari sana.Sheria hazitumiki tena bali utashi wa watu ndio unatumika.Haya mambo yalikuwa huko Rwanda,Russia,Venezuela,Nicaragua sasa yamefika kwetu.Lakini ni jambo la hatari mno
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hivi nyinyi mnaowachangia wanasiasa matapeli wa CHADEMA huwa mnaakili za kawaida kama zetu mbona Mimi sielewi wakuu au ni kukosa elimu ya fedha?

    Kwani watanzania huwa wanajua matumizi ya michango ya mabilionea wanayotoa kwenye vyama vingine.Mimi kwangu sioni kama wanatapeliwa wakati hakuna aliyewashawishi Chadema wameomba sasa mtu akiomba na kupewa kuna shida gani?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Uongozi wenye vision ya taifa 'Visit Rwanda', uongozi usio na vision ya taifa lao 'Samia no.1'

    Kwenye miji mikubwa kama Dar es Salaam,Mbeya,Arusha,Mwanza kulipaswa kuwepo na ongezeko kubwa sana la Vyuo vya kati na vyuo vya ujuzi lakini ongezeko ni la machinga wa mitumba,bidhaa hafifu za chini,wachoma mahindi,wauza machunga badala ya vijana hao kuwepo kwenye site,viwanda,mikoani wakitumia...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Uongozi wenye vision ya taifa 'Visit Rwanda', uongozi usio na vision ya taifa lao 'Samia no.1'

    Hapo kuna wanaoipenda nchi yao na wanaompenda Rais wao.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Tusikimbizane na makala za BBC, wao wameandika kidogo sana kuliko uhalisia

    The nonsense has senses
  12. M

    JamiiForums Tanzania Serikali: Makala ya BBC haina ushahidi. Tutachukua hatua kulinda uhuru, heshima na usalama wa nchi

    Kumbe iliombwa.Ukiombwa unaweza kukubali au kukataa kadri utajavyoona inafaa.Lakini mwisho wa siku Tanzania ndio inapoteza hivyo.Kwenye biashara image ndio kitu muhimu kuliko pengine hata bidhaa shikika
  13. M

    JamiiForums Tanzania Serikali: Makala ya BBC haina ushahidi. Tutachukua hatua kulinda uhuru, heshima na usalama wa nchi

    Nchi yetu imepoteza jina lake kwa haraka mno
  14. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mnakosea kulea Ufisadi wa Heche

    Lakini anayetuhumu ndio anapaswa kuwa na ushahidi bahati mbayq sisi wananchi tunasikia tu tuhuma lakini hata figure za kiwango hakitajwi lakini sauti za akae pembeni kupisha uchunguzi ndio nyingi.Swali ni anakaa pembeni kupisha uchunguzi upi? Msingi wa kuchunguza ni upi?
Back
Top Bottom