Recent content by Munjombe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

    Ni kwa sababu tunaelkea kuwa anarchism sitashangaa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tusichukulie Kirahisi, Rais Samia anaweza kufika Mahakamani kuwa prove wrong. Hivyo Lissu ajiandae kisawasawa

    We ndugu yaani Rais akubali kuwa cross examined na Lissu unautani wewe.Remember ushahidi wake sio kama kesi za kawaida tu kwamba unaenda mbali kupiga story
  3. M

    JamiiForums Tanzania DPP afungua kesi Mahakamani kwa Mwenyekiti wa Bavicha Kahama kwa kusema Patros Katambi hii nchi siyo ya Baba Yako Wala Mama Yako

    Kuna abuse of power ya kiwango cha juu sana Tanzania kwa sasa hivyo kila kinachofanyika kinakuwa ni kawaida
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mabasi kuondoka imekuwa kheri: Malori na ICD Wiki jiayo

    Next is Machinga maana Afcon is around the corner
  5. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Hapo kwenye gharama za miamala umegusa yaani kama NMB gharama zao ni kubwa sana
  6. M

    JamiiForums Tanzania Aachiwe huru ili aende wapi kwa mfano muhalifu huyo?

    Wewe unafaidika na nini wengine kuwekwa mahabusu bila hatia kwa muda mrefu.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hakainde Hichilema atashinda uchaguzi mkuu wa Zambia na hapatakua na Re-Run elections.

    Mimi sijataja nchi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hakainde Hichilema atashinda uchaguzi mkuu wa Zambia na hapatakua na Re-Run elections.

    Atleast huko kuna election na sio selection
  9. M

    JamiiForums Tanzania Katambi: Ajenda ya katiba mpya sio ya wapinzani ilianza tangu Awamu ya Nne chini Kikwete

    Tatizo la kutojua dhamana ya cheo alichonacho.Mambo ya kusemwa na Katibu wa itikadi na uenezi wa chama au katibu mkuu yanasemwa na waziri.Ukishakuwa waziri ni waziri wa wote, je wapinzani nao wanahitaji waziri wao kwa kuwa watajisikia hawapo salama mikononi mwake.Kuna haja ya viongozi kupelekwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDOM, Dkt. Kaijage akatiwa Umeme, Maji baada ya kupewa kesi ya Ugaidi

    1 Nyakati 16:35 Mlilieni, “Ee Mungu Mwokozi wetu, tuokoe. Tukusanye tena na utukomboe kutoka kwa mataifa, ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu, na kushangilia katika sifa zako.”
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Luka 9:4-5 Mkikaribishwa katika nyumba yo yote muwe wageni wa nyumba hiyo hadi mtakapoondoka katika kijiji hicho. Popote ambapo hamtakaribishwa, mnapoondoka kung’uteni mavumbi miguuni mwenu kama ishara ya hukumu ya Mungu juu yao.”
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDOM, Dkt. Kaijage akatiwa Umeme, Maji baada ya kupewa kesi ya Ugaidi

    Kwamba roho za waafrica huzujui au
  13. M

    JamiiForums Tanzania Brian Mundubile: Zambia sio Tanzania. Adai kuwa mbinu za kuiba kura zinazotumika Tanzania zinatumiwa Zambia kwenye Taifa la Kikristo

    Jina Tanzania lilikuwa mfano wa kuigwa leo limekuwa mfano wa mabaya very sad sad indeed
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Ili tutoke hapa ni lazima tukiri yafuatayo 1. Kuliluwa na udanganyifu kwenye. uchaguzi. 2. Kuwa majority ya watanzania wamepoteza interest kwenye box la kura na hivyo viongozi wapo kwa mujibu wa sheria na sio matakwa ya watu kupitia sanduku la kura 3.Kuwa kuna ukandamizaji wa haki za za raia na...
Back
Top Bottom