Recent content by Munjombe

  1. M

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Mimi nashauri serikali ili iwe huru itangaze kufuta private media zotee
  2. M

    SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

    Hivi hapa nani mwenyeji? Nani mkubwa?
  3. M

    Msaada kuhusu kubadilisha jina

    Hapana ni utaratibu wa kisheria Deed poll inakuwa kama certificate ndio maana lazima Iwe registered na serikali
  4. M

    Clement Mzize umemkosea heshima sana wakala wako, wachezaji wazawa ndio mana wengi hawafanikiwi kucheza nje ya nchi

    Point of correction Jasmine sio wakala hivyo kwa sheria za mpira hawezi kunegotiate au kuwa mwakilishi wa Mzize isipokuwa wachezaji wanachofanya ni kuwapelekea mikataba ili kupata ushauri wa kisheria.Mzize kunegotiate na Yanga sio kosa ila atapeleka mkataba kwa Jasmine ili kuona kama kuna...
  5. M

    Mnaokesha kuangalia video mnemba za Polepole, mmeamkaje kwa ile nyomi ya uzinduzi wa kampeni za CCM

    Kwani huyo pole pole alisema watu wasihudhurie mkutano?
  6. M

    Hii mikwaruzano ya ukatoliki na serikali haiwezi kuamsha chuki baina ya wakatoliki na waislam?

    Yaani akosolewe kiongozi then igeuke kuwa Agenda ya Kidini? Kwani baada ya Rais kuwa Muislam waislam wote wanaishi maisha ya peponi si wengi wao ukiondoa walioko kwenye mfumo tuko nao mjini na vijijini tukitaabika wote.Kanisa halina udini ndio maana ukienda kwenye shule,vituo au kwenye taasisi...
  7. M

    Ushauri wa Askofu Dullu kwa wastaafu serikalini kukubali kustaafu, mkafanye biashara na kulipa kodi kihalali, mmeupokeaje?

    Mbona unalalamikia sadaka sana kwani sisi tunalipa kodi na viongozi wanaishi kwa kodi zetu shida iko wapi? Hivi unajua sifa ya askofu wakatoliki unajua ni miradi mingapi anasimamia? Unajua ni miradi mingapi anaanzisha yenye faida na isiyo na faida.Usikalili kwamba kila kiongozi wa dini anasubiri...
  8. M

    Ushauri wa Askofu Dullu kwa wastaafu serikalini kukubali kustaafu, mkafanye biashara na kulipa kodi kihalali, mmeupokeaje?

    Uslilazimishe kuombwa ushauri subiri uombwe ushauri na usipopewa nafasi usilalamike.
  9. M

    Ushauri wa Askofu Dullu kwa wastaafu serikalini kukubali kustaafu, mkafanye biashara na kulipa kodi kihalali, mmeupokeaje?

    Kwani Rais naye si anasubiri kodi l? Waziri si anasubiri kodi,Mbunge si anasubiri kodi? Nadhani usichojua ni kuwa askofu wa katoliki ni kiongozi sio bwana fedha.
  10. M

    GE2025 Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!

    Wewe unachojua kufunga ni kutokula mchana au? Jambo hili ni la wajatoliki mbona unalalamika sasa lakini nadhani Mungu tayari anasikia sala zetu.
  11. M

    GE2025 Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!

    Hivi uliposema wamekosea kuweka sara za mlengo wa kidini umemaanisha nini sijakuelewa mkuu.Novena ni ya kanisani sio Hotuba sasa itakuwaje nje na mtazamo wa kidini!
Back
Top Bottom