Hakuna kitu huzuka kama hewa hata mvua ni matokeo ya mipango ya mawimbi.Hoja sio kuratibiwa sababu iliyotufikisha hapo ndio inapaswa kutafutwa.Jambo lolote liwe bays au zuri huwa na mipangilio maalumu.Hata mataifa ya nje huwa yanaingia sehemu yenye matobo matobo.Kwani kulikuwa na slogan za...
Hii tume haina mamlaka ya kumtuhumu mtu kwa kuwa aliyeunda Rais tume ikimtuhumu mtu maana yake Rais kamtuhumu mtu hiyo inaluwa ni defacto decree.Je kama serikali nayo inatuhumiwa tume itakaa upande upi?
Point of correction Jasmine sio wakala hivyo kwa sheria za mpira hawezi kunegotiate au kuwa mwakilishi wa Mzize isipokuwa wachezaji wanachofanya ni kuwapelekea mikataba ili kupata ushauri wa kisheria.Mzize kunegotiate na Yanga sio kosa ila atapeleka mkataba kwa Jasmine ili kuona kama kuna...
Yaani akosolewe kiongozi then igeuke kuwa Agenda ya Kidini? Kwani baada ya Rais kuwa Muislam waislam wote wanaishi maisha ya peponi si wengi wao ukiondoa walioko kwenye mfumo tuko nao mjini na vijijini tukitaabika wote.Kanisa halina udini ndio maana ukienda kwenye shule,vituo au kwenye taasisi...
Mbona unalalamikia sadaka sana kwani sisi tunalipa kodi na viongozi wanaishi kwa kodi zetu shida iko wapi? Hivi unajua sifa ya askofu wakatoliki unajua ni miradi mingapi anasimamia? Unajua ni miradi mingapi anaanzisha yenye faida na isiyo na faida.Usikalili kwamba kila kiongozi wa dini anasubiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.