Point of correction Jasmine sio wakala hivyo kwa sheria za mpira hawezi kunegotiate au kuwa mwakilishi wa Mzize isipokuwa wachezaji wanachofanya ni kuwapelekea mikataba ili kupata ushauri wa kisheria.Mzize kunegotiate na Yanga sio kosa ila atapeleka mkataba kwa Jasmine ili kuona kama kuna...
Yaani akosolewe kiongozi then igeuke kuwa Agenda ya Kidini? Kwani baada ya Rais kuwa Muislam waislam wote wanaishi maisha ya peponi si wengi wao ukiondoa walioko kwenye mfumo tuko nao mjini na vijijini tukitaabika wote.Kanisa halina udini ndio maana ukienda kwenye shule,vituo au kwenye taasisi...
Mbona unalalamikia sadaka sana kwani sisi tunalipa kodi na viongozi wanaishi kwa kodi zetu shida iko wapi? Hivi unajua sifa ya askofu wakatoliki unajua ni miradi mingapi anasimamia? Unajua ni miradi mingapi anaanzisha yenye faida na isiyo na faida.Usikalili kwamba kila kiongozi wa dini anasubiri...
Kwani Rais naye si anasubiri kodi l? Waziri si anasubiri kodi,Mbunge si anasubiri kodi? Nadhani usichojua ni kuwa askofu wa katoliki ni kiongozi sio bwana fedha.
Hivi uliposema wamekosea kuweka sara za mlengo wa kidini umemaanisha nini sijakuelewa mkuu.Novena ni ya kanisani sio Hotuba sasa itakuwaje nje na mtazamo wa kidini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.