Recent content by munisy2013

  1. M

    Mwl.Nyerere alimkuta Mfalme wa kichaga(mangi) akitafuta uhuru wa Kilimanjaro pekee?

    Wana JF salam,kunakuwaga na tetesi Mwl JK Nyerere alipofika UK kutafuta kupewa uhuru wa Tanganyika alimkuta mmoja wa wafalme (mangi)wa kichaga nae akitafuta uhuru ila yeye alitaka wa Kilimanjaro peke yake,ya kweli?
  2. M

    Tanzania iliwahi kuwa nchi ya tatu kwa upelelezi duniani

    Hata sasa utakuta kuna kichaa amekwisha mbaya ameonekana mitaani miaka ishirini lakini wanaamini kwa moyo mmoja ni shushushu.any way kama ilshawahi kuwa ni miaka hiyo,siku hiz tecnologia ndio inaplay major rall siku hiz watu wanatumia bugs hadi vyooni,redio transmitars hadi kwenye miswaki baba.
  3. M

    Nifanyeje ili niwe na uwezo mkubwa wa kufikiri?

    Hayupo ilo kundi lako.
  4. M

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Bw.Time Bandit na wanajamvi wengine nilishawahi kusikia kuna technologia na desingn za vitu kama magari, simu, majumba n.k zinatolewa kuzimu moja kwa moja je kuna uhusiano wowote na hizi logo zenye alama zao na kuna ushaidi wa uwezekano huo?
  5. M

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Mungu wa kweli ni huyo hizi sign zote zinajaribu kuwa against nae ama huyu hizi signs zinazo onyesha kupambana nae.utakua unaelewa kama namba 666 ikiwa kama alama kuu ya hizi society na organisation za kishetanishetani ni alama ya mpinga nani,kama hujui soma kitabu cha ufunuo kwenye biblia.Mungu...
  6. M

    Nifanyeje ili niwe na uwezo mkubwa wa kufikiri?

    Asante kwa wachangiaji wanaojua huu ni moja ya uwanja wa ku-expand huo uwezo wa akili.Intelligence ya mtu ipo aina mbili(1)natural by born(2)self make.hizi akili za asili(natural by born) SIO ZA KURIDHI KWA NAMNA YOYOTE ILE hazihusu uchaguzi wa mzazi wala mtoto na saa zingine mtoto kama huyu...
  7. M

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    This frmason thing inawachanganya watu wajifunze alama na sheria zao badala ya za Mungu wa kweli,jifunzeni za Mungu.
  8. M

    Tajiri Nambari Moja Duniani Atua Arusha Kimyakimya

    Kama ni kweli i m proud of that!tunakua.
  9. M

    Hi forums members.

    Im a new member lets exchange wha we have to get more.Mimi ni mswahili ila naenjoy kutumia english sema nakaribishwa.
Back
Top Bottom