Bas waajiri ww mkuu kwa huo mshahar mzur na kaz nzur tunachofny apa ni mtu ambae han mishe apate mishe ya kupg wengn mpm kod mtu anashndw kujikim sa huon apo ni 90 afu kula inakua juu yng
Mtaji ef 5?? Labda ikiwa una vifaa vyako mkuu uko center stend kbsa mbgala unalipa kod friza umeme maji afu ef tano wote si wangefanya hiyo kaz kwa ef tano
SA mbil asubuh unafika na barua ya mwenyekit wa mtaa getin afu unazama ndan,msoc mchana SA Saba ni DK 30 only afu kuendelea na kaz mpk SA moja tym nyingn SA mbil ndyo mnaachiwa inaingia shift ya ucku
Ndo Hali halisi ya pale mm nmepiga mwez mmoja pale ko napajua frsh kaz ziPo 10k per day lakin ndo hivo viroba Zaid za 300 per day na unaruhusiw kuunganisha ukapga kuanzia asubuh mpk SA mbil usiku afu ukaingia tena shift ya usiku ukatoka asubuh na 20k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.