Recent content by Munio

  1. Munio

    Nimepeleka mgonjwa usiku Zahanati ya Kitunda, Daktari anasema hawafanyi vipimo siku za Wikiendi Usiku

    Aliweka baadhi ya sehemu za kutokea afya kuwa chini ya tamisemi alihribu sana ,,huduma zinazotolewa under tamisemi ni mbovu mnooo Bora uende Kwa mganga
  2. Munio

    KERO Chuo cha DIT hakijatuma taarifa zetu HESLB, Wanafunzi hatujapata ‘boom’ wiki ya 5 sasa, hali ni ngumu

    Walimu wa vyuo wa serikali ni wasenge na watu wa kutojali na wana roho mbaya mnooo
  3. Munio

    Serikali iangalie hii changamoto ya Mfumo wa ESS, kuhusiana na Uhamisho

    Hakuna watu wanadharau kama watumishi wa halmashaurii yaani aseh
  4. Munio

    Mamlaka inayosimamia ‘parking’ za gari iwajulishe Wateja kuhusu Madeni ya miaka ya nyuma na siyo kuwashtukiza na kutaka walipe papohapo

    Huduma nyingi za kimfumo zinazotolewa na tamisemi ni mbovu mnoo,,hiii wizara ina mambo yakikoloni mnoo
  5. Munio

    Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

    Kuna possibility kubwa kwamba magonjwa wako amedevelop diabetic ketoacidosis acidosis,,,na huwa ni mtiti kupambana nayo kwaio kua humble kama ujaridhirika na huduma zao omba kuondoka naye na piaa skiliza madr wanachosema uswe na mawazo ya eti vile unavowaza kwamba apone Sasa hvii kumbuka...
  6. Munio

    KERO Mwendokasi imesitisha huduma Kibaha na hakuna maelezo

    Huduma zote zinazotolewa na serikali ni mbovu shule ,train, hospital za serikali ,yaani taasisi za serikali zte zinatoa huduma mbovu mno
  7. Munio

    Changamoto ya ajira kwa waliosoma kozi za afya

    Hivi wakuu kutokana na changamoto ya ajira ambazo vijana wetu wanapitia nashangaa eti dokta au nesi haruhusiwi kufungua duka la dawa muhimu 🤣. Hivi alieturoga nani? Tuwahaurumie vijana wetu jaman uwekwe utaratibu kuruhusu waliosoma afya kufanya hio huduma Kwa kufuata utaratibu ajira zenyew Kwa...
  8. Munio

    KERO Responded RITA ni tatizo, wiki ya tatu sasa vyeti vya wanangu havijahakikiwa; nimelipa Tsh 12,000 kwa vyeti viwili lakini majibu sijapata

    Taasisi za serikali nyingi za ovyo utaskia printer mbovu,,imeishiwa wino ,,,yaani shida tupu
  9. Munio

    Rais Samia tunakushukuru hata kama haki ilichelewa lakini tumeipata

    Jitahid sana sana usije ukaajiliwa na tamisemi 😂😂😂😂ni usenge mtupu yaani tamisemi ni jalala LA maskini
  10. Munio

    Kwa ufaulu huu diploma naenda kozi za afya?

    Mkuuu Mimi co ,,kummke najuta kusoma huu usenge bora hata nikasome dip nyngne tayar npo kwenye system,,yaaani dah😱😱😱😱😱
  11. Munio

    Kwa ufaulu huu diploma naenda kozi za afya?

    Kasome dip ya clinical dentistry,, au diagnostic radiography mkuu,,, hutajutaaa hzo ndo course markable sasa usikimbilie co,au nursing za kidwanz tu saiv
  12. Munio

    DOKEZO Responded NHIF watumie mfumo wa fingerprint scanner kutambua wanufaika/ watoto badala ya kusumbua wazazi

    Nhif ni kichefu chefu yaani hata hata hospital zinazotoa huduma kwa nhif wanapitia tabu sana wakati wa kuclaim Madai ni zaid ya mtihani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wanakatwa had huruma
  13. Munio

    Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

    Yaani huyo mwanamke bora hana akili 😂😂😂😂kenge kabisa
  14. Munio

    Madai ya Mlipuko wa Kipindupindu Simiyu, RC asema ‘Ni Ugonjwa wa Matumbo, tumewapiga faini Wananchi wasio na vyoo’

    Yaani MTU anajenga nyumba choo anaacha 😂😂😂😂mazafaka huyo apigwe fain achimbishwe na choo under police
Back
Top Bottom