Recent content by munguwangu

  1. M

    JK kwa pamba hawezekaniki

    Angezingatia mambo ya msingi katika nchi na kuwa na uwezo wa kukemea maovu na kufanya maamuzi bila mzaha Pamba zake zingekuwa na maana.
  2. M

    Maafa ya wanataarabu wa Five Stars Modern Taarab 22 March 2011

    Bila jitihada za dhati za mabadiliko katika madereva wetu watatumaliza jamani. Madereva wa nchi za nje kama ujerumani wanazingatia sana taratibu na sherea na ukizingatia akiwa amebeba abiria? Sisi tatizo liko wapi wanajamii? Tuwafanye nini hawa madereva? Hawajali utu ama nini?
  3. M

    Ripoti: Uchumi unakua, umasikini unaongezeka

    Hivi wanajamii forum. Hili swala la uchimbaji wa madili ya nchi yetu na wananchi wanabakia maskini mnashauri nini?
  4. M

    Anafanana sana na ZItto Kabwe!!

    Mbona inaonekana kama yeye wakati akiwa mwanafunzi?
  5. M

    Spika: Milipuko ya mabomu Gongo la Mboto sio jambo la dharura!

    Mungu wee fungua akili za viongozi wetu waone ukweli na wawajibike ipasavyo. Baba wa Milele tuonee huruma kwa nini masikini ndio wanateseka tuuuu tuuuu tuuuu na wenyenavyo wanazidi kunufaika na mbaya zaidi hata bei zinapanda ati kufa kufaana!! Ewe Mtanzania uwe na aibu. Kweli unaweza...
Back
Top Bottom