CCM,CHADEMA,ACT,NSSR,CUF na vyama vyote,,wote ni wale wale tu,Jitume usisubir serikali,wao wenyewe wapo kazini wanajituma kukudanganya ili wapate kujikimu,ww unadhan nani anakukumbuka baada ya kuingia madarakani,,fight kivyako sio unapoteza muda kupigia debe wenzio,,unatakiwa ufanye responsblts...