Kufuatia kuwepo kwa mwenyekiti wa halmashauri ya Ileje aliye kosa elimu kwa kuishia daasa la nne na kujaliwa kuongea, amejikuta akizidiwa kete na wakuu wa idara ndani ya halmashauri na kuburuzwa baada ya kushindwa kuzitolea maeLezo pesa za msaada zilizo tolewa kwa ajiri ya ujenzi wa kituo cha...
Nauza stiker za magari na baikeli na je ugumu wa maisha inatakiwa auzunhumzie nani hii mada ipo upande wowote ule kwa kuwa ili tatizo wa kuwajibika ni mwanasiasa kwa kuonyesha kumjari mwananchi aliye mchagua na si vinginevyo kwa kuwa hata mbunge anaweza kuliwasilisha bungeni na likajadiliwa na...
Serikari inamnyonya mwananchi kwa asilimia mia moja bila kujari ugumu wa maisha uliopo, we piga hesabu mtaji wangu ni Tsh1500000 kodi yangu kwa mwaka ni 120000, fire nawalipa Tsh42000 kwa mwaka, bango nalipa Tsh72000 kwa mwaka, mchango wa shule nalipa Tsh20000 kwa mwaka, Ulinzi nalipa Tsh20000...
Ukiwa kama msemaji mkuu wa chama tutalajie lini kusikia kuwa mnawachukulia hatua vibaraka wote ndani ya chama juu ya tuhuma zinazo endelea kukichafua chama kwa ajiri ya maslai yao binafsi
Kufuati kuwepo kwa kundi fulani la usaliti ndani ya chama na uongozi kukaa kimya bila kutoa tamko lolote kunafanya vijana wengi kukata tamaa ususani wale wasio kuwa na uwelewa juu ya siasa iliyopo kuwa ni ya kuchafuana kwani sasa nimepita vijiwe kama vitatu vyenye masikani ya vijana nikiwaambia...
Tunasubiri tamko juu yenu wote mlio onyesha usaliti ndani ya chama nazani tamko linatoka mwezi january na tena acheni unafiki wa kupongeza mafanikio ya chama wakati ww mamuluki
Jiji la mbeya sasa barabara zote zinapitika achiliambali za world bank barabar zote za jiji zimesindiliwa kifusi safi na hakuna matatizo ya magari kukwama tena kama brock T ,mama john, sae, nk na huu ni mwanzo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.