Recent content by Munabusule

  1. Munabusule

    UPDATES: The UK has voted by 52% to 48% to leave the European Union

    Kura za wenzetu siyo kama za kwetu zinasafirishwa kwa baiskeli.Uamuzi ni huo najua wahafidhiana mmeumia, hiyo ni wind of change, it might hit many unions and communities
  2. Munabusule

    Wafanyabiashara wakubwa watamkwamisha Magufuli, amini usiamini

    Serikali ya wapi duniani iliwahi kuangushwa na wafanya biashara???? ninachojua ni nguvu ya umma ndiyo inauwezo huo.Hao wafanya biashara waliokwepa kodi na kuficha pesa PANAMA. Sasa hivi pichu zimewabana wanasubiri huruma ya Magu ili japo waambulie chao kidogo.Wananchi tunazo taarifa kuwa...
  3. Munabusule

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Hivi mnadhani serikali yenye vyombo vya kuipatia taarifa utalinganisha na wakesha mtandaoni??? acheni hizo hakuna kesi wala hukumu hapa.mbona swala la kuagiza sukari ya kuchanganyia juzi hatimaye ikipakuliwa inafanyiwa rebagging ni issue ya kawaida sana na ya muda mrefu.Huo ni uhujumu uchumi...
  4. Munabusule

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Magufuli karusha jiwe gizani ukisikia ng'weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee fahamu tayari kaumia mtu
  5. Munabusule

    Kikwete na Salma wapo Uganda: Je, ni kwa gharama ya Serikali hii ya Kubana Matumizi?

    Utambulisho wa rais ni nchi yake, hahitaji mpambe wa kumtambulisha .Magufuli anajulikana Dunia nzima, ni rais pekee aliyekataa mialiko ya wadhungu.HAPA KAZI TU
  6. Munabusule

    Mkutano wa World Economic Forum for Africa unafanyika Kigali-Rwanda

    Lugha si lolote si chochote dunia ya leo kinachoangaliwa ni content of the information delivered, kuna wakalimani kibao , mwenye shida na rersource au uwekezaji tanzania hatajali lugha. ataangalia anatafuta nini, shida yenu watanzania exposure hamna, wachina wanatembea nchi zote duniani lakin...
  7. Munabusule

    Ni hatari sana mifuko ya Pension kuwekeza kwenye viwanda

    JV ndiyo suluhu kwa uwekezaji wa mifuko ya jamii, JV kwamaana ya kuwashirikisha wakulima, wakulima waunde ushirika then wachangie mitaji kwenye uwekezaji.mfano kule singida wakulima wame advance sana na wana mitaji japo si mikubwa. Wakiunganisha nguvu(synergy) kwa kuunda ushirika then kila mmoja...
  8. Munabusule

    NSSF kuwekeza Bilioni 34 Kufufua Viwanda vya NMC

    bIASHARA YA NAFAKA HAITUPI MFANYA BIASHARA LAZIMA FAIDA IPO.MIMI NAIFANYA TENA NSSF WATAGUNDUA WALICHELEWA, KWA WAO NI RAHISI KU-ACCESS MASOKO YA NJE, HATA SOKO LA NDANI BADO.MIM NAUZA SEMBE KWA WINGI KWA KUTUMIA MASHINE YA SIDO NA HAKUNA HASARA
  9. Munabusule

    Dr. Slaa: Sukari yaweza kuangusha Serikali

    Haihangaiki mkuu huo ndiyo ukweli wenyewe na lazima mabepari wasalimu amri.Wahindi hawana ushawishi nchi hii leo tukianza kuwabagua watakimbia nchi. wanatakiwa warudi ktk mstari tuuu
  10. Munabusule

    Dr. Slaa: Sukari yaweza kuangusha Serikali

    Taasisi za fedha kama PSPF,NSSF,PPF waingie kuwekeza kwenye viwanda vya miwa. kama wwameweza kigamboni sembuse kiwanda cha miwa ambacho hata 10bl. haifiki, serikali ingeweza kuanguka kama ingeshindwa kulipa mishahara ya watumishi lakini siyo sukari.slaa kazeeka huyo
  11. Munabusule

    Rais Magufuli lengo lake ni jema kuhusu Sukari, lakini akatumia approach isiyo sahihi

    Na kodi yetu watalipa, walizoea kujiita eti wafanyabiashara wakubwa kumbe wezi wakubwa
  12. Munabusule

    Rais Magufuli lengo lake ni jema kuhusu Sukari, lakini akatumia approach isiyo sahihi

    Safari hii mtaongea lugha zote na herufi zote lakini take mi words.Magu kawashika penyewe mmetutesa sana miaka takribani 30 .Sasa basi lazima muelekee kibra.Kwa taarifa yako serikali tayari imepata suluhu ya janga hili la kutengeneza.just wait n will see.Hapa Kazi tu.
  13. Munabusule

    Serikali yatenga bajeti Bil 2 kufufua kiwanda kinachohitaji bil 60 ili kifanye kazi

    Shida ya watanzania wanapenda mambo makubwa ndiyo maana wengi wenu hata kujenga banda la kuishi mmeshindwa kisa eti pesa haitoshi.Uvivu tu.kwani huwezi na kuanza kununua mabati kwa kududnduiza baadae ufyatue matofali n.k n.k. Serikali makini ni sawa kuanza na 2bl. kwani kuna ground works kibao...
  14. Munabusule

    Katika udhaifu wake Kikwete, alijijengea 'waumini' CCM, itakuwa ngumu kumng'oa

    Hivi kutul Hivi kutuletea mambo ya Abdu Jumbe unadhani ni ujanja!!!! Hivi ZAnzibar unaweza linganisha Tanzania, zanzibar hujui kama ni mkoa wenye hadhi tofauti na mikoa mimninge lakini utabaki kuwa mkoa au Wizara yenye taasisi nyeti.JPM ndiyo mtanzania namba moja wengine tunafuata, utaweza...
  15. Munabusule

    Sakata la UDA: Dodoso katika mtazamo wa kisheria

    tUNAJUA Mnachochoa ukawa waende mahakama ili mfunge mjadala, ukawa hawataenda mahakamani kwani ile ni mali ya jiji, inatumiwa na matapeli tu, na dawa ya tapeli ni kupiga stop kukanyaga kwenye mali hiyo
Back
Top Bottom