Wafanyabiashara wakubwa watamkwamisha Magufuli, amini usiamini

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,467
Leo ishu ya sukari inaonesha wazi ya kwamba vita hiyo inaenda kumshinda,.hao songas wamezima mitambo tena bila makubaliano ya kisheria,maana tunasikia serikali inawashitaki kwa kukiuka makubaliano ya kisheria,kwa sababu mkataba unasema songas wasisitishe utoaji wa huduma,lakinibwao wamezima.

Hiyo maana yake ni kwamba huwezi kushindana na mfanyabiashara hata siku moja yaani akiamua kukukwamisha ujue ni dakika 5 tu you are finished.sasa leo yameibuka hayo ila kesho na keshokutwa yataibuka makubwa zaidi,kumbuka mgomo wa magari nauli ilipotaka kushushwamwhat if wamiriki wa petrol stations nao wakagoma kuleta au kuuza mafuta what will be happen?

Inshot to battle with a businessman is something very difficult.raisi awe makini sana
 
Leo ishu ya sukari inaonesha wazi ya kwamba vita hiyo inaenda kumshinda,.hao songas wamezima mitambo tena bila makubaliano ya kisheria,maana tunasikia serikali inawashitaki kwa kukiuka makubaliano ya kisheria,kwa sababu mkataba unasema songas wasisitishe utoaji wa huduma,lakinibwao wamezima.hiyo maana yake ni kwamba huwezi kushindana na mfanyabiashara hata siku moja yaani akiamua kukukwamisha ujue ni dakika 5 tu you are finished.sasa leo yameibuka hayo ila kesho na keshokutwa yataibuka makubwa zaidi,kumbuka mgomo wa magari nauli ilipotaka kushushwa.what if wamiriki wa petrol stations nao wakagoma kuleta au kuuza mafuta what will be happen? Inshot to battle with a businessman is something very difficult.raisi awe makini sana
Hujasema kwa nini wamezima. Umeangalia upande mmoja tu wa mkataba. Hii mitambo inaendeshwa na kampuni, na ili kampuni iendelee kuwepo lazima kuna vitu vifanyike. Sawa unataka kampuni isizime mitambo, lakini hapo hapo kuna makubaliano ambayo nawewe ulikubaliana nayo lakini huyatekelezi. Sasa hapo nani akubali kujitwisha hilo zigo la kisiasa?
 
Serikali ya wapi duniani iliwahi kuangushwa na wafanya biashara???? ninachojua ni nguvu ya umma ndiyo inauwezo huo.Hao wafanya biashara waliokwepa kodi na kuficha pesa PANAMA. Sasa hivi pichu zimewabana wanasubiri huruma ya Magu ili japo waambulie chao kidogo.Wananchi tunazo taarifa kuwa walikwepa kodi, halafu wametufichia sukari unategemea wapate support ya umma.Noway
 
Nchi yeyote dunian iliyoendelea inaheshimu wafanyabiashara wake kwani ndyo walipa kodi ndyo maana TRA mapato makubwa wanategemea bandarini syo 11% ya wafanyakaz,, tz hatuendi mbele kwa sababu serikali haina urafiki na wafanyabiashara..... Leo hii watawala wetu wanatangaza eti tz ya viwanda inakuja, huwez kuwa na tz ya viwanda kama huna urafiki na wafanyabiashara watatoka na kwenda kuwekeza nchi zingine.... Maajabu haya yako tz tu na mbaya zaidi wtz tumejengewa tabia ya kuwaamini viongoz kila wanachoongea.... Tz bila wafanyabiashara haiwezekan.....
 
Pesa zote halali na haramu wanazomiliki wafanyabiashara husimamiwa na serikali kwa mujibu wa sharia. Serikali ina mamlaka hata yakutaifisha mali za mfanya biashara/kampuni yeyote iwapo uendeshaji wa bishara zake utakuwa unakiuka sharia za nchi. Kampuni/mfanya biashara yeyote hawezi kuitishia serikali nyau, isipokuwa iwapo viongozi wa serikali wanashiriki vitendo vya rushwa. Msuguano baina ya Serikali na makampuni/wafanyabiashara ndiyo uhusiano unaofaa kwa manufaa ya nchi. Iwapo kutakuwa na kuelewana nje ya mfumo wa sharia baina Wafanyabiashara na serikali, basi serikali hiyo imejaa wla rushwa. Tuwape pole Masalia ya serikali ya Kikwete maana serikali yake ilikuwa ya aina hiyo.
 
Leo ishu ya sukari inaonesha wazi ya kwamba vita hiyo inaenda kumshinda,.hao songas wamezima mitambo tena bila makubaliano ya kisheria,maana tunasikia serikali inawashitaki kwa kukiuka makubaliano ya kisheria,kwa sababu mkataba unasema songas wasisitishe utoaji wa huduma,lakinibwao wamezima.hiyo maana yake ni kwamba huwezi kushindana na mfanyabiashara hata siku moja yaani akiamua kukukwamisha ujue ni dakika 5 tu you are finished.sasa leo yameibuka hayo ila kesho na keshokutwa yataibuka makubwa zaidi,kumbuka mgomo wa magari nauli ilipotaka kushushwa.what if wamiriki wa petrol stations nao wakagoma kuleta au kuuza mafuta what will be happen? Inshot to battle with a businessman is something very difficult.raisi awe makini sana
..ukisikia, hayo ndio mabadiliko... maendeleo mwelekeo wa serikali ya JPM ni sahihi.
 
Lazima kuwepo na mutual respect serikali inatunga sera na kulinda haki za wafanyabiashara nje na ndani. Wafanyabiashara wanatengeza ajira na kulipa kodi. Wafanyabiashara wa bongo wao ni one way hawalipi ushuru hawatengezi ajira zaidi wananyonya wafanyakazi wao sana.
 
Leo ishu ya sukari inaonesha wazi ya kwamba vita hiyo inaenda kumshinda,.hao songas wamezima mitambo tena bila makubaliano ya kisheria,maana tunasikia serikali inawashitaki kwa kukiuka makubaliano ya kisheria,kwa sababu mkataba unasema songas wasisitishe utoaji wa huduma,lakinibwao wamezima.hiyo maana yake ni kwamba huwezi kushindana na mfanyabiashara hata siku moja yaani akiamua kukukwamisha ujue ni dakika 5 tu you are finished.sasa leo yameibuka hayo ila kesho na keshokutwa yataibuka makubwa zaidi,kumbuka mgomo wa magari nauli ilipotaka kushushwa.what if wamiriki wa petrol stations nao wakagoma kuleta au kuuza mafuta what will be happen? Inshot to battle with a businessman is something very difficult.raisi awe makini sana
Mawakala wa mafisadi mna mambo. Mmekaa mkisubiri kama fisi ili nchi imshinde mshangilie? Mtasubiri sana! Hata siku moja dhuluma haiwezi kushindana na haki! Watanzania tunaweza kupata shida kwa muda lakini baadae lazima tutashinda!
 
Hawa wafanyabiashara wakwepa kodi na walanguzi ndiyo unadhani wanaweza kuiangusha serikali?

Inawezekana uko kwenye ndoto za mchana.

Ni vizuri tukakusubiri uamke halafu tukuonyeshe au kukueleza ukweli wa hoja yako.
 
Marekani wakati anaanza kupambana na ugaidi alizuia mzunguko wote unauhusiana na wale aliowaita mawakala wa ugaidi na kuwanyanya kwenye mzunguko wao
walipozuia mzunguko wa hela zao kwwnye benki za magharibi ndio tulipoambia kulitokea mtikisiko wa dunia nzima kibiashara
na kuyumba kule kwa uchumi uliiathiri dunia nzima hasa nchi zetu za dunia ya tatu
misaada karibu yote ilisitishwa au kupunguzwa
hapa ndio tunapoona umuhimu wa wafanya biashara kwenye mzunguko wa uchumi
huwezi kuwakwepa kama kweli uanadhamira ya kuinua uchumi hasa wa viwanda
 
Leo ishu ya sukari inaonesha wazi ya kwamba vita hiyo inaenda kumshinda,.hao songas wamezima mitambo tena bila makubaliano ya kisheria,maana tunasikia serikali inawashitaki kwa kukiuka makubaliano ya kisheria,kwa sababu mkataba unasema songas wasisitishe utoaji wa huduma,lakinibwao wamezima.hiyo maana yake ni kwamba huwezi kushindana na mfanyabiashara hata siku moja yaani akiamua kukukwamisha ujue ni dakika 5 tu you are finished.sasa leo yameibuka hayo ila kesho na keshokutwa yataibuka makubwa zaidi,kumbuka mgomo wa magari nauli ilipotaka kushushwa.what if wamiriki wa petrol stations nao wakagoma kuleta au kuuza mafuta what will be happen? Inshot to battle with a businessman is something very difficult.raisi awe makini sana
Mkuu chukua 5.
Vision yako iko mbali sana. Ila itakuwa ngumu kwa watu wa humu kukuelewa.

Usichoke kutuwekea thought zako.

Serikali ya Uingereza pamoja Na ushawishi wote iliyokuwa nayo, Ila hata siku moja ha mess up Na big companies.

Big companies ndio wanaendesha Economy ya nchi.

Imagine kwa pamoja sekta 3 zigome. Mafuta, Usafishaji Na Chakula. Serikali itaweza ku cover vyote kwa pamoja??
 
Serikali ikibaini huu ujinga kuwa ni hujuma, huingilia kati kwa kuziongoza hizo sekta na mashitaka kufunguliwa. Katika sura hii serikali ndiyo itashinda.
Hali hii ikifanyika bila hila wala nia ya hujuma, serikali husikiliza hoja na kutekeleza yanayopaswa. Hapa wote huwa washindi.
 
Serikali ya wapi duniani iliwahi kuangushwa na wafanya biashara???? ninachojua ni nguvu ya umma ndiyo inauwezo huo.Hao wafanya biashara waliokwepa kodi na kuficha pesa PANAMA. Sasa hivi pichu zimewabana wanasubiri huruma ya Magu ili japo waambulie chao kidogo.Wananchi tunazo taarifa kuwa walikwepa kodi, halafu wametufichia sukari unategemea wapate support ya umma.Noway

Mkuu chukua 5.
Vision yako iko mbali sana. Ila itakuwa ngumu kwa watu wa humu kukuelewa.

Usichoke kutuwekea thought zako.

Serikali ya Uingereza pamoja Na ushawishi wote iliyokuwa nayo, Ila hata siku moja ha mess up Na big companies.

Big companies ndio wanaendesha Economy ya nchi.

Imagine kwa pamoja sekta 3 zigome. Mafuta, Usafishaji Na Chakula. Serikali itaweza ku cover vyote kwa pamoja??
Watu ni wasahaulifu au hawasomi historia.
Tulishindana na World Bank pamoja na IMF kwa kipindi fulani lakini mwishowe tuliumia sisi.Tusimamie vyombo vyetu kama TRA viwe na watu waadilifu,tusimamie sheria,tuweke kodi zinazolipika na sio za wivu.
Nyerere alitaifisha kila kitu akatupa watanzania mwisho wa siku tuliua kila kitu.
 
Watu ni wasahaulifu au hawasomi historia.
Tulishindana na World Bank pamoja na IMF kwa kipindi fulani lakini mwishowe tuliumia sisi.Tusimamie vyombo vyetu kama TRA viwe na watu waadilifu,tusimamie sheria,tuweke kodi zinazolipika na sio za wivu.
Nyere alitaifisha kila kitu akatupa watanzania mwisho wa siku tuliua kila kitu.
Watanzania bado wana akili za kijamaa.
Na juzi David Cameron aliandika barua kwa wakuu wa makampuni Makubwa nchini kwake kuwaomba wamsaidie kuwashawashi wananchi wapige Kura ya kubaki Europe. Sasa Imagine how powerful David Cameron is lakini anawapigia magoti wakuu wa makampuni nchini mwake.
 
Hivi watanzania tupoje? Kipindi cha waibua ufisadi tulipiga kelele juu ya mafisadi kuwa ni vyema wafungwe. Tumepata mtu anawafuta kazi wazembe mtu bali anawaza kuwa bora akwame. Jema kwetu ni lipi?
 
Back
Top Bottom