Tanzania nzima, Singida inahitaji attension kubwa sana! Hasa singida mjini, wamewekwa kwapani na yule mhindi mwarabu! Ni aibu sana! Bora makamanda waende labda watafunguka! Najiskia vibaya sana tunavyofananishwa na mazezeta! Singida ndio ya kwanza kwa kuipa ccm kura nyingi na hiyohiyo ya mwisho...
Naunga mkono asilimia mia kuwepo midahalo ila kwenye vigezo natofautiana na wewe kiasi fulani! Wapo watu wengi wenye uwezo wa kuongoza na kuileyea maendeleo jamii ya watanzania ila bahati mbaya hawajafanya makubwa ktk vyama vyao ila pia wapo wengi waliotumikia sana chama na hawana sifa na uwezo...
Hata mke na mume hawafanani maeneo yote! Lakini kwa pamoja katika yale wanayoamini kwa pamoja wanasonga mbele kama kitu kimoja! Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu! Hao wanaoponda muungano huu wanatumikia buku 7! Wajiulize li ccm lenyewe lina vipande vingapi hadi sasa!? Mbona wamegawanyika tu??
Ntaanzisha harakati za kuwaombea vijana mazezeta ma ccm! Ivi mmelogwa au mnafikiria kupitia makalio ndo mana hamuwezi kabisa kutambua kwamba nchi inaliwa?
Chadema juu sana! Mmefanya kilichostahili kufanyika hata kama kitayumba kiasi, ni nafuu kuliko wangetuwahi, sasa kushika dola ni uhakika! Hiki kipindi kitachuja makapi yote tutabaki na cream itakayochukua dola! Thanks God!
KInana mwenyewe hapo alipo ameshasambaratika tayari! Autolee wapi uwezo wa kuisambaratisha chadema!? Chadema sio mbuga za wanyama anazozifisadi cha zaidi anaiongezea chadema umaarufu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.