assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #41
Na Bado,mtaimba Kila Single Lakini UKAWA UMEWASHIKA VILIVYO
inafaa uende jando unalack something
Na Bado,mtaimba Kila Single Lakini UKAWA UMEWASHIKA VILIVYO
What do you mean by "CHADEMA NI SELFISH"? How does it relate to those who are willing to join forces in order to be strong? I think the term "SELFISH" used most relate to the one who claim to have the Permanent patent to the national cake! while knowing precisely that the country belong to us all!
Ushauri mzuri sana, nakumbuka Dr.Slaa alisema hawawezi kuungana na CUF wakati CUF wamefunga ndoa na CCM kimsingi CUF siyo chama cha upinzani, leo kulikoni tena.Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
una ni include kama unanifahamu....mimi ni mwanachama wa cuf....hiyo mlikua ?????? ulikua umenijumuisha na kina nan?
Nabado mtaweweseka sana tarehe 29/10/2014 mkataba kang`aaaaaaa mlijaribu kuwafitisha kwenye bunge la katiba ikashindikana jitihada bado zinaendelea ....... Mwisho wenu umefika Tumieni Katiba,Kanuni,sheria na mamluki kukwamisha Ukawa ila mjuwe lilopangwa na Mungu Binadamu huna Chako.😛eep:
Ushauri mzuri sana, nakumbuka Dr.Slaa alisema hawawezi kuungana na CUF wakati CUF wamefunga ndoa na CCM kimsingi CUF siyo chama cha upinzani, leo kulikoni tena.
Jana ulikuwa unapinga mbinu hizi chafu....sasa zimedhihirika dhahiri. Kwa ufupi kila chama kinaendelea na kazi zake, pia kutakuwa na mipango ya pamoja (UKAWA). Subiri inchi sita ikuingie yoteUshauri mzuri sana, nakumbuka Dr.Slaa alisema hawawezi kuungana na CUF wakati CUF wamefunga ndoa na CCM kimsingi CUF siyo chama cha upinzani, leo kulikoni tena.
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
Jana ulikuwa unapinga mbinu hizi chafu....sasa zimedhihirika dhahiri. Kwa ufupi kila chama kinaendelea na kazi zake, pia kutakuwa na mipango ya pamoja (UKAWA). Subiri inchi sita ikuingie yote
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.