Twisen noma!mtoto wa kike anaomba ruhusa kwenda kwa mwalimu wake kusoma maths,yaani topic ni kutoa na kuongeza!mwanafunzi anatoa 5000 na baada ya siku tumbo limejazwa mimba na mwalimu!hii ni haki?
Sikilizi binti!jaribu ujiandae vizuri na kumwandaa huyo mmeo kwenye tendo la ndoa ili awe na hamu!ila mkifanya kama kubakana hawezi kukufikisha keleleni!kama hujui kumwandaa unitafute nikupe darasa ili unusuru ndoa yenu!kwenda nje yandoa sio solution
Nilioa nakufunga ndoa!na mungu ametujalia kupata mtoto mmoja wa kiume.nilihamishwa sehemu nyingine kikazi ila mke wangu alikataa kuhama na baada ya hapo alienda mahakamani kuomba talaka!pia hakati mtt nimwone wala kufika kwake!nifanyaje?naomba ushaur
Jamani,nawaombeni mtumikie mungu peke yake na tuachane na maovu pamoja na vishawishi wa kupata mali kwa kupitia njia ya haramu kama freemason.basi jiwekee kila wiki unaacha dhambi moja moja nadhani kwa miezi kadhaa utakuwa msafi!nyie mnasemaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.