HASWAA UMENENA....WANAUME WENYEWE MACHO KODO KODO KUTAKA VYA BEI RAHISI UNAFIKIRI BIASHARA ITAKUFA. HEBU WAWACHUNIE SIKU MBILI TATU UONE KAMA ITIGI ITAKUWEPO......MUNGU ATUSAIDIE TUPAMBANE NA HILI
Sure mimi ningekuwa raisi...namtwanga ubunge Kaghasheki...nampa tena wizara....lile jembe lilileta nidhamu.. basi tu...ila tuwe na matumainu na huyu mpya
Kabisa naungana na mtoa hoja..majibu ya raisi yalikuwa ya ugwadu na ukakasi ..mafupi kama ya mzee Lodi Lofa wa gazeti la sani. Nafikirikupitia humu ataisoma hii na kufanya mabadiliko. Tanzania ni yetu sote na tutaijenga kwa kushirikiana. Mungu Ibariki Tanzania na watu wake katika awamu hii. Amen
Ngono sio ya kumtoa mtu kugombea. Akipita atarekebishwa...tatizo watu uzinzi ndo wanaona kosa kuubwaa kuliko kula mabilioni ya watanzania...non sense asonge mbele picha wazisambaze tuuu ...dua la kuku hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.