dah,,,ebwana,,,hio cm ipo sawa,,ila inapitwa na nokia lumia 1020,,,hii ndio best kwa sasa,,inafutwa na hio ulotaja,,,ila,,,xperia z1,,baad ya mwez mmoja itakua hatuijadili tena,,kuna kitu kinakuja,,note 4,,,na sumsung galaxsy s5,,izo nyengine ni publisher lkn sio zaid ya hizo,,,