Recent content by Multi-skilled

  1. Multi-skilled

    Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    Hapo shida ni huyo Jamaa yako mwanamke hana shida hata kidogo aendelee kuliwa tu na jamaa ako aendelee kulipa Ada, Kwa maana Amechagua kuwa moyo wa familia na sio kichwa cha familia
  2. Multi-skilled

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    kabisa mkuu ukifikiria mengine kabla ya kujipa raha hutoboi😀 huu ndo muda unasikia suspension zinapiga kelele nazo zinataka mshahara wako, familia ndugu na jamaa wanataka hicho hicho
  3. Multi-skilled

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Fish Monger Slip way masaki mkuu
  4. Multi-skilled

    Tatizo la Vijana Omba omba mitandaoni ni kubwa sana fanyeni kazi

    Natamani sana vijana wajue kuwa hauwezi kuishi kwa misaada ya buku ten au twenty nenda front fanya kazi wengine tulishawahi kufanya kazi bure hata nauli unajilipia ila hawa wa siku hizi hawataki kazi kabisa
  5. Multi-skilled

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mapema tu mkuu ilibidi niingie liquor store kujipongeza
  6. Multi-skilled

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Shida sio PEPMIS mkuu wengine tulishafunga na na 100% ila akaunti zimenuna tuwe na subra
  7. Multi-skilled

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Bado mpaka Kesho 22 kama ulipo hakuna extra duty na allowance za hapa na pale au safari maisha yatakuchapa sana aisee
  8. Multi-skilled

    Ushauri wa Bure: Usinunue gari hizi mkononi

    Hakuna pingamizi mkuu chuma iko vizuri
  9. Multi-skilled

    Ushauri wa Bure: Usinunue gari hizi mkononi

    Unasema natisha watu na unatumia Vitz niliyotaja hapo juu au mi ndo sikuelewi HEBU SOMA VIZURI UZI MKUU
  10. Multi-skilled

    Ushauri wa Bure: Usinunue gari hizi mkononi

    Ilikuwa stable sana na control nzuri niliipenda sana kwenye rough roads za mwasonga kigamboni, Speed ilikuwa poa sana dodoma dar kama upepo pick up ya gear ni chap sana
  11. Multi-skilled

    China imefuta kuba/dome kwenye misikiti yote, haicheki cheki na wafia dini

    Naona mnapambania dini zenu haya mi naagiza safari lager nikipitia nyuzi zenu
  12. Multi-skilled

    Ni kwanini waajiriwa wanaopaswa kuwa na maisha ya kitumwa wana afadhali kuzidi watu wengi waliojiajiri nchini?

    Unataka waajiriwa waonyeshe maisha yao ili mseme mafisadi 😀 jaribu kwenda Hotel kubwa na bar za masaki utajua pia waajiriwa sio wanyonge ila wamewaweka walimu mbele kama chambo BTW wafanyabiashara wengi wanateseka wachache wako vizuri. Mimi nafanya vyote ila business inanilaza hoi
  13. Multi-skilled

    N haramu kumtakia heri ya xmas ndugu yako mkristo ila si haramu tumia iphone CEO Gay

    Yaani kudadeki inaniuma sana kuzungwa na jamii ambazo kwake dini za mkoloni ndio kila kitu natamani niende nchi kama JAPAN ambako watu wanaamini kwenye ETHICS yani ni ujinga ujinga ujinga
  14. Multi-skilled

    Ushauri wa Bure: Usinunue gari hizi mkononi

    Point yangu kubwa ilikuwa wenye kipato kidogo Mkuu NISSAN used kwa Tanzania utapata shida hasa XTRAIL, MURANO, FUGA, TEANA, PRIMERA na BLUE BIRD may be kama utaagiza japan lakini mkononi mwa watu ni maumivu Hasa MURANO, JUKE na XTRAIL utakabidhiwa gari yenye marekebisho yatakayo shtua moyo au...
Back
Top Bottom