Recent content by Multi-skilled

  1. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Serikali kutaka kuhamisha watu Temeke ili kupisha Bandari Kavu ni ukatili wa kiwango cha juu. Hii Serikali ni ya Kijamaa kweli?

    Keko, Azimio, Buza, Sandari, Kilakala, Mtoni, Temeke, Miburani na Yombo Vituka. vunja wape chao tuendelee kuboresha jiji
  2. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Msiogope, Majanga ya NEPAL hayawezi kutokea Tanzania

    Mtu anayenunua kiwanja bondeni na kupewa hati miliki huwa inakuaje kuaje wakuu yaani mtu anaishi bonde la msimbazi nyumba yake inaangalia calvat jipya la mto msimbazi kigogo 😳😄😄😄
  3. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Anayejua location ya Body Massage ya bei chee aniambie, nataka kutoa ushamba na Ku relax pia

    Kuna sehemu msasani unazaliwa upya
  4. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda. Nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    Sasa Bro huyo si m@l@y@ tu hata wasukuma kina kajalar na wanyamwezi kina uwoyah wanaishi hivyo, makabila yameingiaje mkuu
  5. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa kuisaidia Yanga kimataifa humu hakuna

    Mpaka sasa tuombe job na mzize wapone na wapate utimamu ili tucheze ROBO lazima kiungo tuwe na Duke maxi muda na Azizi pale juu Attacking tuwe na mzize kama winga kushoto kangwanda kulia na shalulile kati Ulinzi CB wawe job na Bacca hapo hata fainali uhakika
  6. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa kuisaidia Yanga kimataifa humu hakuna

    Huyu kangwanda ni mchezaji mzuri ila sasa sijui ni maringo au uvivu naona kama anatumia asilimia chache sana za uwezo wake
  7. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa Nyumba Sinza Watishia Kwenda Mahakamani Kupinga Mpango Mpya wa Maendeleo 2026–2046

    kama kila mwenye nyumba atakuwa mmiliki wa sehemu ya maghorofa mapya shida ipo wapi? Nyumba zao si zinapanda thamani zaidi? Au nyumba nyingi za kurithi
  8. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaitwa baraka za wazazi au laana ya mzazi na hakuna kitu kinaitwa karma zote hizi ni nadharia za kutiana moyo

    What you think and do is what you become hakuna unseen power behind it
  9. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaitwa baraka za wazazi au laana ya mzazi na hakuna kitu kinaitwa karma zote hizi ni nadharia za kutiana moyo

    Uko sahihi kwa asilimia 100 mkuu karibu unywe hata beer moja
  10. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Umeongea kwa uchungu sana mkuu, ni tabia ya wanawake wengi ndio sababu hatuwezi kuacha kuwa na mama nyingine ya pembeni kwa ajili ya moja na mbili, kutegemea mwanamke mmoja utakufa na sonona mkuu.
  11. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Ni bora kukomaa hapahapa Tanzania mungu atajaalia, kila nikiwaangalia wanao rudi kutoka Afrika Kusini, nachoka kabisa

    Biashara na shughuli ambazo sio rasmi ndio zinawachoma ndugu zetu bado watanzania wengi wenye legal permits wapo SA nina ndugu yangu dereva tax anakula upepo capetown
  12. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Ni bora kukomaa hapahapa Tanzania mungu atajaalia, kila nikiwaangalia wanao rudi kutoka Afrika Kusini, nachoka kabisa

    South Africa kuna apportunity shida zamani walizamia machizi boti wa mbagala na manzese.
  13. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo ya Posho kwa Interns Serikalini: TTB & TANAPA

    Vijana kuweni wavumilivu mjifunze kazi
  14. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Idadi ya watu vs Fursa za ajira

    Wakorea wanaogopa kuzaa sababu ya gharama za maisha waafrica wanazaa wapate unafuu wa maisha, i just don't get it men!
Back
Top Bottom