Mtu anayenunua kiwanja bondeni na kupewa hati miliki huwa inakuaje kuaje wakuu yaani mtu anaishi bonde la msimbazi nyumba yake inaangalia calvat jipya la mto msimbazi kigogo 😳😄😄😄
Mpaka sasa tuombe job na mzize wapone na wapate utimamu ili tucheze ROBO lazima kiungo tuwe na
Duke maxi muda na Azizi pale juu
Attacking tuwe na mzize kama winga kushoto kangwanda kulia na shalulile kati
Ulinzi CB wawe job na Bacca hapo hata fainali uhakika
kama kila mwenye nyumba atakuwa mmiliki wa sehemu ya maghorofa mapya shida ipo wapi? Nyumba zao si zinapanda thamani zaidi? Au nyumba nyingi za kurithi
Umeongea kwa uchungu sana mkuu, ni tabia ya wanawake wengi ndio sababu hatuwezi kuacha kuwa na mama nyingine ya pembeni kwa ajili ya moja na mbili, kutegemea mwanamke mmoja utakufa na sonona mkuu.
Biashara na shughuli ambazo sio rasmi ndio zinawachoma ndugu zetu bado watanzania wengi wenye legal permits wapo SA nina ndugu yangu dereva tax anakula upepo capetown
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.