Well kwa experience yangu ya U-vendor weapon to sell a PRODUCT ni 1.quality yenye consistency na utofauti wa hiyo product. Mfano (NICHE ya juice ya matunda yasiyo na sukari wala maji) watu siku hizi ni healthy concious sababu ya magonjwa mengi ya kisasa so wanatafuta vyakula healthy na vyakula...
Ni strategy tu ukiwa na watu wa delivery 5 kila mtu ana maduka yake unashambulia chapu hata zaidi ya 100
Mgahawa wa kawaida hapa sinza unauza juice mpaka pisi 25 kwa siku
Juice moja 3000 x 100 =300,000
Matunda ya kutengeneza hizo juice pale ilala hayafiki 30,000
Kariakoo ni soko kubwa na juisi ni hitaji kubwa inawezekana inawalipa kuliko duka lako la nguo uswekeni huko
Swala la tabia hata maofisini kuna mademu wanajiuza
Kukaidi sheria kutateketeza sana ndugu zetu hao watu waliofariki wana watu wangapi nyuma yao daah.
Tangu mwaka huu uanze kila mtu ninayemjua amepoteza rafiki au ndugu kwa ajali, Boda boda zimeongoza
Tatizo ni moja tu, kupuuza SHERIA ZA BARABARANI .
Tuwe makini jamani madereva na wasafiri, na...
Ubongo ukishajua ni weekend unafanya kazi kwa ukaribu sana na wallet lakini ina motivation ya kutafuta pesa zaidi nilipokuwa nakunywa SODA nilikuwa sikutani na matajiri ila sasa Beer is Medium of connection hata hapa namsubiri mkurugenzi mkubwa sana tujadili mawili matatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.