Recent content by Multi-skilled

  1. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Nandy na Billnass wafanya kufuru kwenye birthday party ya NayaBill

    Regardless vyote au baadhi watu waishi maisha yao hata wakiamua kwenda mwezini ni wao tu, yatima hawawezi kuisha hapa duniani
  2. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Nandy na Billnass wafanya kufuru kwenye birthday party ya NayaBill

    Ndugu mchangiaji huenda watu hawa wametoa zaidi misaada kwa wahitaji kuliko wewe, waachieni watu space wale maisha yao.
  3. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Zari; kuchepuka kwa mwanaume asiyekuhudumia sio usaliti ni kujihami

    Hawa wanawake Diamond atawaletea shida ya akili😀
  4. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Well kwa experience yangu ya U-vendor weapon to sell a PRODUCT ni 1.quality yenye consistency na utofauti wa hiyo product. Mfano (NICHE ya juice ya matunda yasiyo na sukari wala maji) watu siku hizi ni healthy concious sababu ya magonjwa mengi ya kisasa so wanatafuta vyakula healthy na vyakula...
  5. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    You are very bright my friend ni kweli zinakua chini kwa sababu hiyo but still ni Tax hata kenya inalipwa 7.5% kwa kila Rental income, BTW upo vizuri
  6. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Tafuta kitu inaitwa 'Rental Income Tax' ni standard practice kila Income lazima iwe taxed
  7. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Wapi kaka mwenye nyumba yako anafanya return ya nyumba zake, zipo kwenye mfumo gani wa kodi ? Biashara nyingi muhimu Bongo hazijarasimishwa
  8. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Mtu anapangisha nyumba kumi kila nyumba 600k/month na halipi hata 100 TRA sembuse muuza juice
  9. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Ni strategy tu ukiwa na watu wa delivery 5 kila mtu ana maduka yake unashambulia chapu hata zaidi ya 100 Mgahawa wa kawaida hapa sinza unauza juice mpaka pisi 25 kwa siku
  10. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Juice moja 3000 x 100 =300,000 Matunda ya kutengeneza hizo juice pale ilala hayafiki 30,000 Kariakoo ni soko kubwa na juisi ni hitaji kubwa inawezekana inawalipa kuliko duka lako la nguo uswekeni huko Swala la tabia hata maofisini kuna mademu wanajiuza
  11. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Kukaidi sheria kutateketeza sana ndugu zetu hao watu waliofariki wana watu wangapi nyuma yao daah. Tangu mwaka huu uanze kila mtu ninayemjua amepoteza rafiki au ndugu kwa ajali, Boda boda zimeongoza Tatizo ni moja tu, kupuuza SHERIA ZA BARABARANI . Tuwe makini jamani madereva na wasafiri, na...
  12. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Unywaji upi una hatari ndogo kila siku kidogo au Weekend kufa mtu?

    Ubongo ukishajua ni weekend unafanya kazi kwa ukaribu sana na wallet lakini ina motivation ya kutafuta pesa zaidi nilipokuwa nakunywa SODA nilikuwa sikutani na matajiri ila sasa Beer is Medium of connection hata hapa namsubiri mkurugenzi mkubwa sana tujadili mawili matatu
  13. Multi-skilled

    JamiiForums Tanzania Unywaji upi una hatari ndogo kila siku kidogo au Weekend kufa mtu?

    Twanga beer mkuu strategy zote mbili zimekaa vizuri
Back
Top Bottom