Ilikuwa stable sana na control nzuri niliipenda sana kwenye rough roads za mwasonga kigamboni, Speed ilikuwa poa sana dodoma dar kama upepo pick up ya gear ni chap sana
Unataka waajiriwa waonyeshe maisha yao ili mseme mafisadi 😀 jaribu kwenda Hotel kubwa na bar za masaki utajua pia waajiriwa sio wanyonge ila wamewaweka walimu mbele kama chambo BTW wafanyabiashara wengi wanateseka wachache wako vizuri. Mimi nafanya vyote ila business inanilaza hoi
Yaani kudadeki inaniuma sana kuzungwa na jamii ambazo kwake dini za mkoloni ndio kila kitu natamani niende nchi kama JAPAN ambako watu wanaamini kwenye ETHICS yani ni ujinga ujinga ujinga
Point yangu kubwa ilikuwa wenye kipato kidogo Mkuu NISSAN used kwa Tanzania utapata shida hasa XTRAIL, MURANO, FUGA, TEANA, PRIMERA na BLUE BIRD may be kama utaagiza japan lakini mkononi mwa watu ni maumivu Hasa MURANO, JUKE na XTRAIL utakabidhiwa gari yenye marekebisho yatakayo shtua moyo au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.