Hapo shida ni huyo Jamaa yako mwanamke hana shida hata kidogo aendelee kuliwa tu na jamaa ako aendelee kulipa Ada, Kwa maana Amechagua kuwa moyo wa familia na sio kichwa cha familia
kabisa mkuu ukifikiria mengine kabla ya kujipa raha hutoboi😀 huu ndo muda unasikia suspension zinapiga kelele nazo zinataka mshahara wako, familia ndugu na jamaa wanataka hicho hicho
Natamani sana vijana wajue kuwa hauwezi kuishi kwa misaada ya buku ten au twenty nenda front fanya kazi wengine tulishawahi kufanya kazi bure hata nauli unajilipia ila hawa wa siku hizi hawataki kazi kabisa
Ilikuwa stable sana na control nzuri niliipenda sana kwenye rough roads za mwasonga kigamboni, Speed ilikuwa poa sana dodoma dar kama upepo pick up ya gear ni chap sana
Unataka waajiriwa waonyeshe maisha yao ili mseme mafisadi 😀 jaribu kwenda Hotel kubwa na bar za masaki utajua pia waajiriwa sio wanyonge ila wamewaweka walimu mbele kama chambo BTW wafanyabiashara wengi wanateseka wachache wako vizuri. Mimi nafanya vyote ila business inanilaza hoi
Yaani kudadeki inaniuma sana kuzungwa na jamii ambazo kwake dini za mkoloni ndio kila kitu natamani niende nchi kama JAPAN ambako watu wanaamini kwenye ETHICS yani ni ujinga ujinga ujinga
Point yangu kubwa ilikuwa wenye kipato kidogo Mkuu NISSAN used kwa Tanzania utapata shida hasa XTRAIL, MURANO, FUGA, TEANA, PRIMERA na BLUE BIRD may be kama utaagiza japan lakini mkononi mwa watu ni maumivu Hasa MURANO, JUKE na XTRAIL utakabidhiwa gari yenye marekebisho yatakayo shtua moyo au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.